Angola

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Rukia: urambazaji, tafuta
República de Angola
Jamhuri ya Angola
Bendera ya Angola Nembo ya Angola
Bendera Nembo
Wito la taifa: Virtus Unita Fortior, kumaanisha "Kuunganisha maadili kunaongeza nguvu"
Wimbo wa taifa: Angola Avante!
(Kireno: Angola songa mbele!)
Lokeshen ya Angola
Mji mkuu Luanda
8°50′ S 13°20′ E
Mji mkubwa nchini Luanda
Lugha rasmi Kireno
Serikali Vyama vingi demokrasia
José Eduardo dos Santos
Paulo Kassoma
Uhuru
Kutoka Ureno
11 Novemba 1975
Eneo
 - Jumla
 - Maji (%)
 
1,246,700 km² (22nd)
-
Idadi ya watu
 - 2004 kadirio
 - ? sensa
 - Msongamano wa watu
 
10,978,552 (71st)
haiko
8.6/km² (213)
Fedha Kwanza (AOA)
Saa za eneo
 - Kiangazi (DST)
CET (UTC+1)
- (UTC+1)
Intaneti TLD .ao
Kodi ya simu +244

-



Angola ni nchi kusini ya kati ya bara Afrika inayopakana na Namibia, Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, na Zambia, na pia upande wa magharibi kuna pwani defu ya Bahari Atlantiki. Mkoa wa Kabinda umezungukwa na kupakana na Jamhuri ya Kongo. Angola yenyewe ni nchi tajiri kwa madini, mafuta na almasi ndiyo muhimu zaidi. Lakini nchi ni maskini kutokana na vita ya miaka 29; kwanza vita ya kupigania uhuru dhidi ya Ureno iliyofuatwa na vita ya wenyewe hadi 2002.

Nchi yenyewe hasa ni demokrasia na yajulikana kama Jamhuri ya Angola (Kireno: República de Angola, kwa kutamka. IPA: /ʁɛ.'pu.βli.kɐ dɨ ɐ̃.'ɣɔ.lɐ/).

Yaliyomo

Asili na historia ya jina Angola [hariri]

Jina Angola yatokana na lugha ya Bantu neno N’gola, ambayo ilikuwa jina ya kiongozi wa ufalme wa Kwimbundo karne ya 16, ambapo wakoloni Wareno walianza ukoloni eneo hii.

Historia [hariri]

Kuanzia karne ya 16, falme mbalimbali zilienea sehemu za Angola, kwa mfano Dola la Lunda na Dola la Kasanje.

Siasa [hariri]

Hadabu ya nchi Angola ni Virtus Unita Fortior, kumaanisha "umoja tupe nguvu"

Eneo za angola [hariri]

Ramani ya Angola na Mikoa iliohesabiwa

Tako la Kifungu: Mikoa ya Angola, Munisipaa za Angola

Angola imegawa kwa mikoa 18 (províncias) na munisipaa 158 (municípios).
Mikoa ni:

Munisipaa: ona Munisipaa za Angola

Jiografia [hariri]

Ramani ya Angola

Tako la kifungu: Jiografia ya Angola

Mikoa inayozungukwa na Eneo [hariri]

Luanda, mji mkuu wa angola

Angalia pia [hariri]

Kifungu wazowazo [hariri]

Uchambuzi [hariri]

  • maadishi mengi kutoka kifungu hichi yametoka kutoka kitabu cha wadadisi wa marekani cha mwaka 2000 na 2003 na pia kutoka kifungu cha idara ya mambo ya nnje, marekani.

Viungo via nnje [hariri]

[[Portal:{{{1}}}|{{{1}}} portal]]

Kigezo:Zinazohusika

Serikali [hariri]

Habari [hariri]

  • allAfrica - Angola - viungo via habari
  • Angola Press -idara ya Taarifa na habari ya Angola (kwa kireno, kifaransa na kingereza)
  • Angonoticias (kwa kireno) -lango la habari lenye sifa Angola
  • Mangole (kwa kireno) - ya habari nchini Angola na pia maelekezo ya makala kwa kompyuta.
  • Jornal de Angola (kwa kireno) - Gazeti lenye sifa Angola

Maoni [hariri]

Radio & Muziki [hariri]

Maelekezo [hariri]

Utalii [hariri]

Mambo mengine [hariri]


Nchi za Afrika Bara la Afrika
Afrika ya Kati (Jamhuri ya) | Afrika Kusini | Algeria | Angola | Benin | Botswana | Burkina Faso | Burundi | Cabo Verde | Chad | Cote d'Ivoire | Eritrea | Gabon | Gambia | Ghana | Guinea | Guinea Bisau | Guinea ya Ikweta | Jibuti | Kamerun | Kenya | Komori | Kongo (Jamhuri ya) | Kongo (Jamhuri ya Kidemokrasia ya) | Lesoto | Liberia | Libya | Madagaska | Malawi | Mali | Misri | Morisi (Visiwa vya) | Mauritania | Moroko | Msumbiji | Namibia | Niger | Nigeria | Rwanda | Sahara ya Magharibi | Sao Tome na Principe | Senegal | Shelisheli | Sierra Leone | Somalia | Sudan | Sudan Kusini | Tanzania | Togo | Tunisia | Uganda | Uhabeshi | Uswazi | Zambia | Zimbabwe
Maeneo ya kiafrika ambayo ni sehemu za nchi nje ya Afrika
Ufaransa: Mayotte · Réunion | Hispania: Visiwa vya Kanari · Ceuta · Melilla | Ureno: Visiwa vya Madeira | Uingereza: · Kisiwa cha St. Helena · Kisiwa cha Diego Garcia