Burundi

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Rukia: urambazaji, tafuta
Republika y'u Burundi
République du Burundi

Jamhuri ya Burundi
Bendera ya Burundi Nembo ya Burundi
Bendera Nembo
Wito la taifa: Unité, Travail, Progrès
(Kifaransa: Umoja, Kazi, Maendeleo)
Wimbo wa taifa: Burundi bwacu
Lokeshen ya Burundi
Mji mkuu Bujumbura
3°30′ S 30°00′ E
Mji mkubwa nchini Bujumbura
Lugha rasmi Kirundi, Kifaransa Kiswahili
Serikali Jamhuri
Pierre Nkurunziza
Uhuru
 - Tarehe
kutoka Ubelgiji
Julai 1, 1962
Eneo
 - Jumla
 - Maji (%)
 
27,830 km² (142nd)
7.8%
Idadi ya watu
 - 2003 kadirio
 - 1978 sensa
 - Msongamano wa watu
 
6,054,714 (99th)
3,589,434
206.1/km² (52)
Fedha Burundi franc (FBu) (BIF)
Saa za eneo
 - Kiangazi (DST)
CAT (UTC+2)
- (UTC+2)
Intaneti TLD .bi
Kodi ya simu +257
Alama ya kimataifa ya magari {{{vehicle_code}}}


Map of Burundi
Satellite image of Burundi
NASA photo of Burundi

Jamhuri ya Burundi (iliyojulikana zamani kama Urundi) ni nchi ndogo ambayo iko karibu na Eneo la Maziwa Kubwa ya Afrika. Burundi imepakana na Rwanda upande wa kaskazini, Tanzania upande wa mashariki, na Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo upande wa magharibi. Ingawa Burundi haina bahari sehemu ya mpaka wake eneo la mashariki uko karibu na Ziwa Tanganyika. Jina lenyewe la nchi hii, limetokana kwa msingi na kutanuka kwa lugha ya Kirundi ambacho ni lugha ya Kibantu.

Burundi ni nchi ndogo iliyomo barani Afrika. Mara kadhaa nchi hii imekuwa na misukosuko na machafuko ya kisiasa na kijamii. Shida kubwa ni kuwa Burundi haina maliasili kutosheleza umma na kutosheleza ratili ya kisiasa kwa walio wengi Wahutu na walio wachache Watutsi na Watwa.

Kwa orodha ya Marais wa nchi tangu uhuru, angalia hapa.

Yaliyomo

[hariri] Watu na Utamaduni

[hariri] Utafiti

Mambo mengi ya Burundi yamepatikana kutoka CIA World Factbook 2000 na 2003 U.S. Department of State website.

[hariri] Kichunguzi

[hariri] Ongezea masomo kwa wingi

  • Burundi: Ethnic Conflict and Genocide Reni Lemarchand and Lee H. Hamilton

[hariri] Mishikanizi

[hariri] Tazama pia

[hariri] Viungo vya nje

[hariri] Serikali

[hariri] Habari

[hariri] Overviews

[hariri] Maendelezo


[hariri] Other

WikiMedia Commons
Wikimedia Commons ina media kuhusu:



Nchi za Afrika Bara la Afrika
Afrika ya Kati (Jamhuri ya) | Afrika Kusini | Algeria | Angola | Benin | Botswana | Burkina Faso | Burundi | Cabo Verde | Chad | Cote d'Ivoire | Eritrea | Gabon | Gambia | Ghana | Guinea | Guinea Bisau | Guinea ya Ikweta | Jibuti | Kamerun | Kenya | Komori | Kongo (Jamhuri ya) | Kongo (Jamhuri ya Kidemokrasia ya) | Lesoto | Liberia | Libya | Madagaska | Malawi | Mali | Misri | Morisi (Visiwa vya) | Mauritania | Moroko | Msumbiji | Namibia | Niger | Nigeria | Rwanda | Sahara ya Magharibi | Sao Tome na Principe | Senegal | Shelisheli | Sierra Leone | Somalia | Sudan | Sudan Kusini | Tanzania | Togo | Tunisia | Uganda | Uhabeshi | Uswazi | Zambia | Zimbabwe
Maeneo ya kiafrika ambayo ni sehemu za nchi nje ya Afrika
Ufaransa: Mayotte · Réunion | Hispania: Visiwa vya Kanari · Ceuta · Melilla | Ureno: Visiwa vya Madeira | Uingereza: · Kisiwa cha St. Helena · Kisiwa cha Diego Garcia

Vifaa binafsi
Maeneo ya wiki

Vibadala
Vitendo
Urambazaji
Vifaa
Lugha zingine