Guinea

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Rukia: urambazaji, tafuta
République de Guinée
Jamhuri ya Guinea
Bendera ya Guinea Nembo ya Guinea
Bendera Nembo
Wito la taifa: Travail, Justice, Solidarité
(Kifaransa: Kazi, Haki, Kushikamana)
Wimbo wa taifa: Liberté (Uhuru)
Lokeshen ya Guinea
Mji mkuu Conakry
9°30′ N 13°43′ W
Mji mkubwa nchini Conakry
Lugha rasmi Kifaransa (rasmi), Pulaar, Kissi, Kpelle, Kimaninka, Kisusu, Kitoma
Serikali Jamhuri
Lansana Conté
(aliaga dunia 23.12.2008)
Uhuru
kutoka Ufaransa
2 Oktoba 1958
Eneo
 - Jumla
 - Maji (%)
 
245,857 km² (ya 75)
kidogo sana
Idadi ya watu
 - Julai 2005 kadirio
 - 1996 sensa
 - Msongamano wa watu
 
9,402,000 (ya 83)
7,156,406
38.5/km² (ya 133)
Fedha Guinean franc (GNF)
Saa za eneo
 - Kiangazi (DST)
GMT (UTC0)
(UTC)
Intaneti TLD .gn
Kodi ya simu +224

-



Guinea (pia: Gine, Gini) ni nchi katika Afrika ya Magharibi. Imepakana na Guinea-Bisau, Senegal na Mali upande wa kaskazini, Côte d'Ivoire, Liberia na Sierra Leone kusini halafu Bahari Atlantiki upande wa magharibi.

Eneo lake ni chanzo ya mito mikubwa ya Niger, Senegal na Gambia. Jina la "Guinea" liliwahi kutaja sehemu kubwa ya Afrika ya Magharibi kati ya jangwa Sahara na Ghuba ya Guinea ya Atlantiki likimaanisha "nchi ya watu weusi" kwa lugha ya kiberber.

Yaliyomo

Tazama pia [hariri]

Viungo vya nje [hariri]

Serikali [hariri]

Habari [hariri]

Musiki [hariri]

Orodha [hariri]

Africa satellite plane.jpg Makala hii kuhusu maeneo ya Afrika bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Guinea kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.



Nchi za Afrika Bara la Afrika
Afrika ya Kati (Jamhuri ya) | Afrika Kusini | Algeria | Angola | Benin | Botswana | Burkina Faso | Burundi | Cabo Verde | Chad | Cote d'Ivoire | Eritrea | Gabon | Gambia | Ghana | Guinea | Guinea Bisau | Guinea ya Ikweta | Jibuti | Kamerun | Kenya | Komori | Kongo (Jamhuri ya) | Kongo (Jamhuri ya Kidemokrasia ya) | Lesoto | Liberia | Libya | Madagaska | Malawi | Mali | Misri | Morisi (Visiwa vya) | Mauritania | Moroko | Msumbiji | Namibia | Niger | Nigeria | Rwanda | Sahara ya Magharibi | Sao Tome na Principe | Senegal | Shelisheli | Sierra Leone | Somalia | Sudan | Sudan Kusini | Tanzania | Togo | Tunisia | Uganda | Uhabeshi | Uswazi | Zambia | Zimbabwe
Maeneo ya kiafrika ambayo ni sehemu za nchi nje ya Afrika
Ufaransa: Mayotte · Réunion | Hispania: Visiwa vya Kanari · Ceuta · Melilla | Ureno: Visiwa vya Madeira | Uingereza: · Kisiwa cha St. Helena · Kisiwa cha Diego Garcia
WikiMedia Commons
Wikimedia Commons ina media kuhusu: