Afrika
Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Kigezo:Pp-semi-vandalismKigezo:Pp-move-indef Kigezo:Infobox Continent
Afrika ni bara la pili kwa ukubwa na kwa wingi wa idadi ya watu ulimwenguni baada ya bara Asia. Kwa ukubwa wake wa yapata kilomita milioni thelathini nukta mbili (sq mi) ikiwa pamoja na visiwa vilivyo karibu, inachukua asilimia sita ya Dunia nzima na asilimia ishirini nukta nne ya jumla ya ardhi yote ya dunia.[1] Kupitia idadi ya watu bilioni moja ( kufikia mwaka wa 2009, tazama jedwali) katika majimbo 61, Africa ina asilimia 14.8% ya idadi ya watu duniani. Bara hili limezungukwa na Bahari ya Mediterranean kaskazini, Mfereji wa Suez na Bahari ya Shamu karibu na Sinai Peninsula katika upande wa kaskazini mashariki, Bahari ya Hindi upande wa kusini-mashariki na Bahari ya Atlantiki katika upande wa magharibi. Bila kuhesabu jimbo la Sahara ya Magharibi, kwa sababu ya ubishi kuhusiana na umiliki wake, kuna nchi 53, pamoja na kisiwa cha Madagascar na visiwa vingine vinavyohusiana na bara hili.
Afrika, hususan kati ya Afrika mashariki, inachukuliwa na wanasayansi {{/0} kuwa asili ya binadamu na familia ya Hominidae (nyani) ), kama inavyoshadidiwa kupitia ugunduzi wa jadi wa nyani hao waliofanana na binadamu na mababu zao na vilevile wale wa zamani zaidi karibu miaka milioni saba iliyopita - pamoja na Sahelanthropus tchadensis, Australopithecus africanus, A. afarensis, Homo erectus, H. habilis na {1 H. ergaster{/1} - pamoja na wale wa kitambo sana, yaani homo sapiens (binadamu wa kisasa) ambao walipatikana kule Ethiopia na kukadiriwa kuwa waliishi miaka 200.000 iliyopita. [2]
Afrika humagamaga [[ikweta{/}]]na ina maeneo mbalimbali ya hali ya hewa,na ni bara la kipekee linalotanda kutoka kanda za halijoto za kaskazini na kusini .
Yaliyomo |
[hariri] Asili ya Jina
Afri lilikuwa jina ya watu kadhaa walioishi Afrika-Kaskazini karibu na Carthage. Jina lao kwa kawaida huhusishwa na nenoPhoenician afar ' "vumbi", lakini nadharia ya 1981 [3] imedai kwamba neno hilo linatokana na neno la Berber "ifri" au "Ifran" lenye maana "pango" likirejelea watu wanaoishi kwenye pango .[4] Afrika au Ifri au Afer [4] ni jina la Banu Ifran kutoka Algeria na Tripolitania ( kabila la Yafran la Berber) [5]
Chini ya utawala wa Kirumi, Carthage ilifanywa mji mkuu wa jimbo la Afrika, ambalo linajumlisha sehemu ya kisasa ya pwani ya Libya. Silabi ya mwisho ya Kirumi "-ca" inaashiria "nchi au ardhi". [6] Ufalme wa Waislamu wa hapo baadaye wa Ifriqiya, siku hizi yajulikana kama Tunisia, pia ulihifadhi sehemu ya jina hilo.
Maelezo mengine yaliyotolewa kuhusu asili ya jina "Afrika":
- Mwanahistoria wa Kiyahudi wa karne ya kwanza Flavius Josephus (Ant. 1,15) alisema kwamba ilipewa jina kwa sababu ya Epher, ambaye alikuwa mjukuu wa Ibrahimu kulingana na kitabu cha Mwa. 25:4, ambaye alidai kuwa wazao wake walivamia Libya.
- Neno la Kilatino aprica ( "kuwa na jua") lililotajwa na Isidore wa Sevilla katika Etymologiae XIV.5.2.
- neno la Kigiriki aphrike, linalomaanisha "bila baridi." Hili liliopendekezwa na mwanahistoria Leo Africanus (1488-1554), ambaye alieleza neno la Kigiriki phrike (φρίκη, linalomaanisha "baridi na ogofya"), pamoja na privative yaani kiambishi awali "a-", hivyo basi ikionyesha nchi isiyo na baridi wala hali ya kuogofya.
- Massey, katika mwaka wa 1881, alipata asili yake kutokana na neno la kimisri af-Rui-ka, "kugeuka kuelekea upande wa ufunguzi wa ka." Ka ni juhudi za nguvu maradufu ya kila mtu na "ufunguzi wa Ka" unahusu chupa ya uzazi au pahali pa kuzaliwa. Kwa Wamisri ,Afrika ni "Pahali pa kuzaliwa" [7]
Jina la kike la Kiayalandi [16] wakati mwingine hutankwa kama Africa, lakini neno hili halihusiki na bara hili [[.]]
[hariri] Historia
[hariri] Paleohistory
Hapo mwanzo wa nyakati za Mesozoic, Afrika ilikuwa imeunganishwa na mabara mengine ya dunia katika Pangaea. [8] Afrika ilijumuika pamoja na mabara mengine yaliyoshiriki katika fauna iliyokuwa sawa katika bara hili kubwa ambapo wanyama aina za theropods, prosauropods na primitive ornithischians ndio walioishi kwa wingi kufikia mwisho wa kipindi cha Triassic. [8] Mabaki ya wanyama wa kale wa miaka ya hivi karibuni ya Triassic yanapatikana kote barani Afrika , hasa upande wa kusini kuliko kaskazini. [8] Mpaka unaotenganisha Jurassic na Triassic ni alama ya ujio wa tukio la kutokomea kwa viumbe kutokana na athari za kiulimwengu ingawa Strata ya Afrika kuanzia kipindi hiki haijafanyiwa utafiti wa kina. [8]
Strata za Jurassic za jadi zimeenea kwa usawa na strata za baadaye za Triassic, ikiwa na zaidi ya mawe yanayoonekana kusini na strata chache za kawaida ambazo zinapatikana kwa wingi upande wa kaskazini. [8] Jurassic ilipotoka , makundi zaidi na makubwa ya dinosaurs kama sauropods na ornithopods yaliongezeka katika Afrika. [8] Strata za Jurassic za kipindi cha kati hazijaelezewa vizuri wala kufanyiwa utafiti katika Afrika. [8] Strata ya Jurassic ya hivi majuzi pia haijaelezewa vizuri isipokuwa wanyama wa kuvutia wa jamii ya Tendeguru nchini Tanzania. [8] Hali ya kipindi cha mwisho zaidi cha Jurassic ya Tendeguru ni sawa kabisa na ile inayopatikana Morrison Foundation upande wa magharibi ya Kaskazini ya Amerika
Katika nyakati za kati ya Mesozoic,hususan miaka milioni 150-160 iliyopita, Madagascar ilijitenga na Afrika, ingawa ilibakia imeunganishwa na India na eneo la Gondwanan. [8] Visukuku kutoka Madagascar ni pamoja na abelisaurs na titanosaurs. [8]
Baadaye, katika kipindi cha mapema cha Cretaceous, ardhi kuu ya India na Madagascar ilijitenga na Gondwana. [8] Kufikia nyakati za hapo baadaye za Cretaceous, Madagascar na India zilikuwa zimetengana kabisa na baadaye ziliendelea hadi kufikia zilivyo hivi sasa. [8]
Kinyume na Madagascar, Bara Afrika lilikuwa imara katika nafasi yake katika nyakati za Mesozoic. [8] Licha ya hali yake imara, mabadiliko makubwa yalitokea uhusiano wake na mabara mengine kwani mabaki ya Pangea yaliendelea kusambaratika. [8] Katika nyakati za mwanzo wa sehemu za mwisho za Cretaceous, Amerika ya Kusini ilikuwa imejitenga kutoka Afrika, hivi basi kukamilisha nusu ya kusini ya bahari ya Atlantiki. [8] Tukio hili lilikuwa na athari kubwa katika hali ya hewa duniani kwa kubadili mkonndo wa pepo za bahari. [8]
Katika nyakati za Cretaceous, Afrika ilikuwa na wanyama wa jamii za allosauroids na spinosaurids, pamoja na dinosaurs pamoja na wanyama wala nyama waliojulikana kuwa wakubwa sana kuweza kuishi. [8] Titanosaurs walikuwa wanyama wala majani katika mazingira yao ya kale. [8] Sehemu walikoishi Cretaceous ni nyingi zaidi kuliko za Jurassic lakini mara nyingi hawawezi kupewa umri kwa kutumia kaboni jambo linaloifanya kuwa vigumu kutambua umri wao. [8] Louis Jacobs,mtaalamu katika uwanja wa visukuku, ambaye alifanya utafiti kwa muda mrefu nchini Malawi, Kigezo:Citation needed anasema kwamba maeneo ya visukuku barani Afrika yanahitaji utafiti zaidi na jambo hili linaweza kutoa" nafasi nzuri sana ya ugunduzi mpya". [8]
[hariri] Historia ya hapo zamani
Afrika imechukuliwa na wachimba visukuku kama eneo kongwe kuwahi kukaliwa duniani, ikiwa ni pamoja kwamba spishi ya binadamu ina asili yake katika bara hili. [9] [10] Katika nyakati za kati ya karne ya ishirini, wachimba visukuku waligundua visukuku vingi na ushahidi wa makazi ya binadamu takribani miaka milioni 7 iliyopita. Mabakia ya visukuku vya spishi kadhaa za binadamu waliofanana na nyani wakubwa wanaodhaniwa kuwa walibadilika na kuwa binadamu wa kisasa kama [[]]Australopithecus afarensis (inayokusudiwa kuwa takriban miaka milioni 3.9-3.0 kabla ya ujio wa Kristo), [11] Paranthropus boisei (c. Miaka milioni 2.3-1.4 kabla ya Kristo) [12] na homo ergaster (c. Miaka milioni 1.9-600, 000 kabla ya Kristo) wamegunduliwa. [1]
Katika kipindi cha kabla ya historia ya ubinadamu, Afrika (kama mabara mengine yote) haikuwa na mataifa yoyote na badala yake, ilikuwa imekaliwa na makundi ya Wasasi na wachuma matunda kama vile Khoi na San. [13] [14] [15]
Kufikia mwisho wa Ice Age, inakadiriwa kuwa miaka 10,500 kabla ya Kristo, Sahara ilikuwa tena bonde la rutuba ya kijani, na wakazi wake Waafrika wakarudi kutoka Afrika ya nyanda za ndani na nyanda za pwani katika Afrika Kusini mwa Sahara Kigezo:Citation needed Hata hivyo, joto na kukauka kwa hali ya hewa ilimaanisha kwamba kufikia mwaka wa 5000 kabla ya Kristo, kanda ya Sahara ilikuwa inazidi kuwa kavu na ya isiyoweza kukaliwa.. Wakazi waliondoka kwenye makazi yao ya eneo la Sahara kuelekea Bonde la Nile wakaelekea Cataract ya chini ya Pili ambako walifanya makazi yasiyokuwa ya kudumu au makazi ya kudumu. Hali ya hewa ilibadilika pakubwa hivyo kupunguza mvua nzito na ya kila mara katika sehemu za Mashariki na Kati ya Afrika. Tangu wakati huu, hali ya ukavu imezidi katika Afrika Mashariki, na kuongezeka katika miaka 200 iliyopita, kule Ethiopia.
Hali ya kufuga ng'ombe barani Afrika iliitangulia kilimo na inaonekana kuwepo sambamba na tamaduni za usasi na kuchuma matunda. Inasemekana kuwa kufikia mwaka wa 6000 kabla ya Kristo, ng'ombe tayari walikuwa wakifugwa katika Afrika ya Kaskazini. [16] Katika eneo la Sahara-Nile , watu waliwafuga wanyama wengi ikiwa ni pamoja na aina ya punda, na mbuzi wadogo wenye pembe zilizojikunja ambao walifugwa na wengi kutoka Algeria hadi Nubia. Katika mwaka wa 4000 Kabla ya Kristo, hali ya hewa katika pande za Sahara ilianza kuwa kame kwa mwendo wa kasi mno. [17] Mabadiliko haya ya hali ya hewa yalisababisha maziwa na mito kudidimia kwa kiasi kikubwaa na hatimaye kusababisha maenezi ya jangwa. Hali hii, kwa upande mwingine, ilipunguza kiasi cha ardhi nzuri kwa makazi na pia kusababisha uhamaji wa jamii za wakulima hadi sehemu ya hali ya hewa ya kitropiki ya Afrika Magharibi. [17]
Kufikia milenia ya kwanza kabla ya Kristo kazi ya kutumia chuma ilikuwa imeshaanzishwa katika Afrika ya Kaskazini na kuenea kwa kasi kote Sahara hadi kaskazini ya Afrika kusini mwa Sahara [18] na kufikia mwaka wa 500 kabla ya Kristo matumizi ya zana za chuma yalikuwa yameanza kuwa kawaida katika Afrika Magharibi. Utengenezaji wa vitu kwa kutumia chuma ulikuwa umeenea kikamilifu kufikia mwaka wa 500 Kabla ya Kristo katika maeneo mengi ya Afrika Mashariki na Magharibi ingawaje sehemu zingine hazikuanza kutumia chuma hadi katika karne za awali baada ya Kristo. Vifaa vilivyotengenezwa kutokana na shaba nyekundu kutoka Misri, Afrika Kaskazini, Nubia na Ethiopia kutoka takriban mwaka wa 500 Kabla ya Kristo vimechimbuliwa katika maeneo ya Afrika Magharibi hivi kuonyesha kuwa mitandao ya biashara ya trans-Sahara ilikuwa imieanzishwa kufikia wakati huu. [17]
[hariri] Ustaarabu wa kale
Kufikia mwaka wa 3300 kabla ya Kristo, historia inabainisha kwamba Afrika ya Kaskazini iliimarika kwa hali ya masomo katika tamaduni za kifarao ya Misri ya Kale. [19] Kama mojawapo ya nchi zilizokuwa na ustaarabu na maendeleo ya zamani na marefu ya kitamaduni duniani , Misri iliendelea kuathiri maeneo mengine kwa njia mbalimbali , hadi mwaka wa 343 Kabla ya Kristo. [20] [21] Ushawishi wa Misri uliathiri nchi ya Libya ya kisasa, kaskazini mwa Crete [22] na Canaan Kigezo:Citation needed na kusini mwa falme za Aksum Kigezo:Citation needed na Nubia Kigezo:Citation needed Kituo cha kujitegemea cha ustaarabu na maendeleo kilichofanya biashara na Phoenicia kilianzishwa huko Carthage katika pwani ya kaskazini-magharibi ya Afrika [23] [24]
Utalii wa wazungu katika bara la Afrika ulianza na Wayunani wa kitambo na Warumi.ngu Mnamo mwaka wa 332 kabla ya Kristo, Alexander Mkuu alikaribishwa kama mwanamapinduzi katika eneo ambalo lilikaliwa ma Waajemi kule Misri[[.]] Alianzisha mji wa Alexandria[[]] kule Misri, ambao baadaye ulikuja kuwa mji mkuu ulionawiri wa nasaba ya ufalme wa Ptolemy baada ya kifo chake. [25] Kufuatia utekaji wa mwambao wa Bahari ya Mediterranean iliyoko katika sehemu ya Afrika Kaskazini na himaya ya Warumi, eneo hilo lilikuja kujumuishwa kiuchumi na kiutamaduni katika uongozi wa Kirumi. Warumi walihamia na kutengeneza makazi katika eneo ambalo sasa linajulikana kama Tunisia na kwingineko katika kanda ya pwani. Ukristo ulienea kwenye maeneo haya kutoka Palestina kupitia Misri, na kuelekea kusini, mbali na mipaka ya himaya ya Kirumi hadi sehemu za Nubia na kufikia karne ya 6, ulifika Ethiopia.
Mapema katika karne ya 7, kikundi kipya cha Arabian Islamic Caliphate kilienea hadi Misri, na kisha kuingia Afrika ya Kaskazini. Baada ya kipindi kifupi, wasomi wa sehemu ile wa asili ya Berber walikuwa wamekubalika kama kabila mojawapo la Waarabu Waislamu. Mji mkuu wa Ummayad, Damascus,ulipoanguka katika karne ya nane, sehemu kuu ya Kiislamu ya Mediterranean ilihamishwa kutoka Syria hadi Qayrawan iliyo Afrika ya Kaskazini. Afrika Kaskazini iliyokaliwa na Waislamu ilikuwa na shughuli anuwai, na ikawa kitovu cha wataalamu wa siri , wasomi, wanasheria na wanafalsafa. Katika kipindi kilichotajwa hapo juu, Uislamu ulienea hadi barani Afrika chini ya Jangwa la Sahara , hasa kwa kupitia njia za biashara na uhamiaji. [26]
[hariri] Karne ya 9 hadi 18
[[File:Igbo ukwu bronzes.jpg|thumb|left|Shaba ya karne ya 9 kutoka kwenye mji wa Igbo ya Igbo Ukwu, sasa katika Museum ya Uingereza Cite error: Closing </ref> missing for <ref> tag
Ife kihistoria ni mji au ufalme wa kwanza wa Wayoruba,uliounda serikali chini ya ukuhani wa oba,(oba linamaanisha 'mfalme'au'kiongozi'katika lugha ya Yoruba) iitwayo Ooni ya Ife. Ife ilichukuliwa kama kituo cha umuhimu sana kidini na kitamaduni katika Afrika, na kwa ajili ya upekee wake wa utamaduni wa kiasili wa uchongaji wa shaba. Muundo wa kiserikali wa Ife ulichukuliwa kule Oyo, ambapo oba au wafalme, waitwao Alaafins wa Oyo kwa wakati mmoja waliongoza idadi kubwa ya' Wayoruba na wengine wasiokuwa wa miji na falme za Kiyoruba, Ufalme wa Fonhuko Dahomey ulikuwa mojawapo ya eneo lililokuwa chini ya uongozi wa Oyo.
Almoravids, ilikuwa nasaba ya ufalme wa Berber kutoka Sahara ambao ulienea katika sehemu kubwa ya Afrika ya kaskazini magharibi na Ulaya ya Kusini wakati wa karne 11. [27] Banu Hilal na Banu Ma'qil walikuwa mkusanyiko wa makabila ya Kiarabu ya Bedouin kutoka Arabian Peninsula ambao walihama wakielekea magharibi kupitia Misri kati ya karne 11 na 13. Uhamaji wao ulisababisha mwingiliano baina ya Waarabu na WaBerber, ambapo wenyeji walifanywa Waarabu na utamaduni wa Kiarabu ukaathiriwa na ule wa wenyeji , chini ya mfumo wa kuwaleta pamoja Waislamu. [28]
Kufuatia kusambaratika kwa Mali, kiongozi wa kienyeji aliyeitwa Sonni Ali (1464-1492) alianzisha Himaya ya Songhai katika kanda ya kati ya Niger na magharibi mwa Sudan na kisha akaidhibiti biashara ya trans-Sahara. Sonni Ali alitwaaTimbuktu mnamo 1468 na Jenne mnamo mwaka wa 1473, huku akijenga utawala wake kupitia mapato kutoka kwa biashara na ushirikiano na wafanyabiashara Waislamu. Mrithi wake yaani Askia Mohammad I (1493-1528) alifanya Uislamu kuwa dini rasmi, alijenga misikiti na kuwaleta wasomi wa Kiislamu akiwemo al-Maghili (d.1504), mwanzilishi wa utamaduni muhimu wa Waislamu Waafrika kutoka Sudan hadi Gao. [29] Kufikia karne ya 11 baadhi ya majimbo ya Hausa kama Kano, jigawa, Katsina, na Gobir - yalikuwa yameendelea katika miji iliyozingirwa na kuta na yalishiriki katika misafara ya biashara, na utengenezaji wa bidhaa. Hadi karne ya 15 majimbo haya madogo yalikuwa kwenye upeo wa himaya kubwa ya Sudan ya nyakati hizo; kulipa ushuru kwa Songhai upande wa magharibi na Kanem-Borno katika upande wa mashariki.
[hariri] Kiwango cha biashara ya watumwa
Kulingana na historia ,Utumwa umekuwa ukiendeshwa katika Afrika, na maeneo mengine. [78] [79] Kati ya karne ya Saba na ishirini, Biashara ya watumwa ya Waaarabu (pia inayojulikana kama utumwa wa huko Mashariki) ilisafirisha watumwa milioni 18 kutoka Afrika kupitia Sahara na Bahari ya Hindi. Kati ya karne ya kumi na tano na karne ya kumi na tisa,biashara ya watumwa ya Atlantic ilipeleka watumwa milioni 7-12 hadi maeneo mapya ya dunia. [80] [81] [82]
Katika Afrika Magharibi, kushuka kwa biashara ya utumwa ya Atlantic katika miaka ya 1820 ilisababisha mabadiliko makubwa ya kiuchumi katika serikali. Upungufu wa biashara ya watumwa, ulioletwa na ukosefu wa mahitaji ya watumwa katika Maeneo mapya ya Ulimwengu, kuongezeka kwa sheria huko Ulaya na Amerika zilizopinga Utumwa na kuwepo kwa Kikosi cha Wanamaji cha kifahari cha Uingereza katika pwani ya Afrika Magharibi [[]]viliyafanya mataifa ya Kiafrika kutafute mbinu mpya za kiuchumi. Kati ya 1808 na 1860, Kikundi cha vita cha Afrika Magharibi cha Uingereza kilikamata takriban Merikebu za watumwa 1,600 na kuwaachilia Waafrika 150.000 ambao walikuwa ndani. [30] Vile vile hatua zilichukuliwa dhidi ya viongozi wa Afrika ambao walikataa kukubali mikataba ya Uingereza kuharamisha biashara hiyo, kwa mfano dhidi ya "Mfalme wa Lagos aliyejitwalia mamlaka bila haki", na ambaye aling'olewa madarakani mwaka 1851. Mikataba ya kuharamisha utumwa ilitiwa saini na Viongozi wa Kiafrika Wapatao hamsini. [84] Mamlaka makuu ya Afrika Magharibi: Muungano wa Asante , Ufalme wa Dahomey, na Himaya ya Oyo, zilichukua njia tofauti za kukabiliana na mabadiliko hayo. Falme za Asante na Dahomey zilijikita katika maendeleo ya "biashara halali" katika kuuza mawese, kakau, mbao na dhahabu na kutengeneza msingi wa biashara ya kuuza nje ya Afrika magharibi [[]] ya kisasa . Himaya ya Oyo, kwa kutoweza kukabiliana na mabadiliko haya, iliporomoka kutokana na vita vya wenyewe kwa wenyewe. [85]
[hariri] Ukoloni na "Unyakuzi wa Afrika"
Mwishoni mwa karne ya kumi na tisa, Mataifa ya Ulaya yenye nguvu kubwa [[]]yalihusika katika unyakuzi mkubwa wa maeneo na kufanya sehemu kubwa ya bara makazi yao huku yakiweka nchi nyingi chini ya utawala wa kikoloni kwa kuacha tu mataifa mawili yakiwa huru; Liberia,ambalo lilikuwa taifa huru ambalo wakazi wake walikuwa Waamerika weusi na Orthodox Christian Ethiopia ( ambalo lilijulikana kwa Wazungu kama"Abyssinia"). Utawala wa kikoloni wa Wazungu uliedelea hadi baada ya kumalizika kwa Vita vya pili vya dunia, wakati ambapo mataifa yaliyokuwa chini ya utawala wa ukoloni yalipata uhuru hatua kwa hatua.
Harakati za kudai uhuru barani Afrika zilishika kasi kufuatia Vita vya pili vya dunia ambavyo viliacha mataifa makubwa ya Ulaya yenye mamlaka makuu dhaifu. Mnamo mwaka wa 1951, Libya,nchi iliyokuwa chini ya ukoloni wa Kiitaliano , ilipata uhuru. Mnamo mwaka wa 1956, Tunisia na Moroko walinyakua uhuru wao kutoka kwa Wafaransa. Ghana, ilifuata nyayo mwaka uliofuata na ikawa nchi ya kwanza kusini mwa Sahara kupata uhuru kutoka kwa mkoloni. Nchi nyingi za bara la Africa zilizokuwa zimebaki zilipata uhuru katika mwongo uliofuata, mara nyingi kwa njia ya amani na utulivu ingawa katika baadhi ya nchi, hasa Algeria, uhuru ulipatikana baada ya mapamban makali. Ingawa Afrika ya Kusini ilikuwa mojawapo ya nchi za kwanza za Afrika kujipatia uhuru, ilibakia chini ya walowezi weupe, katika sera ya ubaguzi wa rangi hadi mwaka 1994.
[hariri] Africa baada ya Ukoloni
Leo hii, Afrika ina mataifa 53 huru na yanayojitegemea, mengi yamehifadhi mipaka iliyowekwa wakati wa ukoloni. Tangu ukoloni, mataifa ya Afrika yamekuwa yakiathiriwa n hali ya kuyumbayumba, ufisadi, vita, na udikteta. Mataifa mengi ya Afrika ni jamhuri zinazoendeshwa chini ya mfumo wa utawala wa kirais. Hata hivyo, idadi ndogo ya mataifa haya imeweza kudumisha uongozi wa kidemokrasia na mengi badala yamejipata katika hali ya mapinduzi ya nguvu ya serikali mara kwa marajambo ambalo limeletaudikteta wa kijeshi. Idadi kubwa ya viongozi wa Afrika walioshika hatamu baada ya ukoloni walikuwa majenerali wa kijeshi ambao walikuwa na kiwango cha chini cha elimu na hawakuelewa maswala ya uongozi. Kuyumba kwingi, hata hivyo, kulikuwa hasa matokeo ya kubaguliwa kwa makabila mengine na ufisadi chini ya viongozi hawa. Kwa faida za kisiasa, viongozi wengi walianzisha migogoro ya kikabila ambayo ilianzishwa na kuendelezwa na utawala wa kikoloni. Katika nchi nyingi, kikosi cha kijeshi kilichukuliwa kuwa kundi pekee ambalo lingeweza kudumisha nidhamu, na kilitawala mataifa mengi katika Afrika katika miaka ya 1970 na miaka ya awali ya 1980. Katika kipindi cha kuanzia miaka ya mapema za 1960 hadi mwishoni mwa miaka ya 1980, Afrika ilikuwa na zaidi ya mapinduzi ya serikali ya nguvu 70 na mauaji ya marais 13 [[]]. Migogoro ya mipaka ilikuwa jambo la kawaida, huku mipaka iliyowekwa na nchi za Ulaya ikigombewa kwa migogoro ya kivita.
Migogoro ya Vita vya baridi kati ya Marekani na Umoja wa Kisovyeti, pamoja na sera za Shirika la Fedha la Kimataifa(IMF), pia vilichangia jukumu katika hali ya kutokuwa imara. Nchi ilipopata uhuru kwa mara ya kwanza, kila mara ilitarajiwa kujinasibisha na mojawapo ya mataifa mawili yenye nguvu duniani. Nchi nyingi za Afrika ya Kaskazini zilipokea misaada ya kijeshi kutoka Urusi, huku nchi za Afrika ya Kati na Kusini zikifadhiliwa na Marekani, Ufaransa au nchi zote mbili. Kulikuwa na mabadiliko mnamo mwaka wa 1970,ambapo Angola,nchi ambayo ilikwisha kuwa huru na Msumbiji zilijifungamanisha Soviet Union,ilhali nchi za Magharibi na Afrika ya Kusini zilitafuta mbinu za kudhibiti ushawishi wa Soviet Union kwa kufadhili harakati za upinzani. Kulikuwa na janga la njaa nchini Ethiopia lililosababisha vifo vya maelfu ya watu. Baadhi ya watu walidai kuwa sera za Kimarxist / Kisovyeti ziliifanya hali kuwa mbaya zaidi.
Migogoro ya kijeshiambayo imekuwa na athari mbaya sana katika Afrika huru ya kisasa ni Vitavya Pili ya Kongo. kufikia mwaka wa 2008, mgogoro huu ulikuwa umesababisha vifo vya watu milioni 5.4. Tangu mwaka 2003 kumekuwa na migogoro inayoendelea mjini Darfur ambayo imekuwa janga la kibinadamu. Janga la UKIMWI pia limekuwa suala nyeti barani Afrika baada ya ukoloni.
[hariri] Jiografia
Afrika ndiyo kubwa zaidi baina ya michomozo mitatu mikuu iliyo upande wa kusini kutoka kwenye sehemu kubwa ya ardhi ya dunia. Huku ikiwa imetenganishwa kutoka bara Ulaya na [[Bahari ya shaba,]]Afrika imeunganishwa na Asia katika upande wa kaskazini mashariki na mtaro mkuu wa Suez (mtaro huu una Mfereji wa Suez), ambao ni kilomita 163 (maili 101) kwa urefu. [31] (Kwa kuzingatia eneo la kiserikali, Sinaiiliyoko Misri mashariki mwa Mfereji wa Suez huchukuliwa mara nyingi kuwa sehemu ya Afrika, vilevile.) [32] Umbali wa kutoka kaskazini ya juu sana, Ras ben Sakka nchiniTunisia (37 ° 21 'N),hadi kusini zaidi mwa Afrika , Cape Agulhasiliyoko nchini Afrika ya Kusini (34 ° 51'15 "S), ni umbali wa takriban kilomita 8000(maili 5000]; [33] kutoka Cape Verde, 17 ° 33'22 "W, ambayo ni upande wa magharibi zaidi barani Afrika, hadi Ras Hafun nchini Somalia, 51 ° 27'52" E, ambayo ni mchomozo wa mashariki ya mbali, ni umbali wa takriban kilomita 7400 (maili 4600). [34] Umbali wa ufuo ni kilomita 26000(maili 16100) na ukosefu wa mwanbao sambamba,unadhihirishwa na ukweli kwamba Uropa, ambayo hujumlisha ukubwa wa 10,400,000 km ² (4.010.000 maili mraba) - ukubwa ambao ni thuluthi ya ukubwa wa bara la Afrika- ina mwambao wa kilomita 32000(maili 19800). [34]
Nchi kubwa zaidi barani Afrika ni Sudan, ilhali nchi ndogo zaidi barani Afrika ni Ushelisheli, ambayo nisafu ya visiwa katika pwani ya mashariki. [35] Taifa ndogo zaidi barani ambayo ni Gambia.
Kulingana na Warumi wa jadi , Afrika ilipatikana magharibi mwa Misri, ilhali "Asia" ilirejelea Anatolia na nchi za upande wa mashariki. Mstari ulichorwa na mwanajografia Ptolemy [85-165 AD] baina ya mabara haya mawili ), ilionyesha Alexandria ikiwa sambamba na Prime Meridian na kuonyesha Mtaro wa Suez na Bahari ya Shamukuwa mipaka kati ya Asia na Afrika. Wakati Wazungu walipokuja kufahamu ukubwa halisi wa Afrika fikra zao kuhusu Afrika zilipanuka.
Kijiolojia, Afrika inajumuisha Peninsula ya Arabia;Milima ya Zagrosinayopatikana Iran alama ya Anatolia Plateau inayopatikana Uturuki iliyoachwa baada ya Pandikizi la Afrika kugongana na lile la Eurasia. Sehemu za tropiki barani Afrika na jangwa la Saharo-Arabia kaskazini mwake inaunganisha sehemu hii kibayolojia na kijiografia ilhali lugha mbalimbali za Kiafrica na Kiasia zinaunganisha upande wa kaskazini kiisimu.
[hariri] Hali ya hewa
Hali ya hewa ya bara la Afrika ni kutoka hali ya kitropiki hadi [[]]sehemu iliyo na baridi ya kiasi katika maeneo yake ya juu zaidi. Kimsingi nusu yake ya upande wa kaskazini ni jangwa au eneo kame,lakini maeneo ya kati na kusini yana nyika ya savanna na misitu mikubwa ya mvua . Katika sehemu ya kati , kuna ruwaza za Sahel, na steppe kwa wingi.
[hariri] Wanyama
Afrika inajivunia labda kuwa bara lililo na "anuwai ya uhuru" ya wingi wa wanyama aina mbalimbali wa pori, pamoja na idadi kubwa yawanyama wala nyama (kama simba s, fisi s, na duma s) na wanyama wala mimea (kama nyati, kulungu, tembo s, ngamia s, na twiga s)ambao wana uhuru wa kutembea kwenye nyika zisizo za kibinafsi. Pia ni makazi ya aina ya viumbe wa mwituni (ikiwa ni pamoja na nyoka 0}na familia ya nyani ) na viumbe wanaoishi majini (kama mamba na Amfibia ). Afrika pia ina idadi kubwa ya spishi zawanyama wakubwa sana duniani, kwa sababu haikuathirika sana kutokana 0}hali ya kutoweka kabisa kwa wanyama wakubwa sana duniani walioishi wakati wa Pleistocene.
[hariri] mazingira
Kulingana na Mpango wa Mazingira wa Umoja wa Mataifa (UNEP). [36] kiwango cha uharibifu wa misitu barani Afrika ni mara mbili ya kiwango cha dunia. Kuna madai kwamba ukataji miti kiholela umekwisha maliza takriban 90% ya misitu ya awali ya Afrika Magharibi [37] Tangu kuwasili kwa binadamu miaka 2000 iliyopita, Madagascar imepoteza zaidi ya 90% ya misitu yake ya awali. [38] Karibu 65% ya ardhi ya kilimo barani Afrika ina udongo ulioharibiwa mmomonyoko. [39]
[hariri] Siasa
Umoja wa Afrika (AU) ni shirikisho linalojumuisha mataifa yote ya Afrika isipokuwa Moroko. Shirikisho hili liliundwa tarehe 26 Juni 2001 , Addis Ababaikifanywa makao yake makuu. Mnamo Julai 2004,bunge la Afrika [PAP][[lilihamishwa na kupelekwa /0} Midrand, nchini Afrika Kusini, lakini Tume ya haki za binadamu ilibaki mjini Addis Ababa.|lilihamishwa na kupelekwa /0} Midrand, nchini Afrika Kusini, lakini Tume ya haki za binadamu ilibaki mjini Addis Ababa.]] Kuna sera ya kutenganisha Taasisi za muungano wa Afrika ili zitumiwe kwa ushirika na mataifa yote. Kigezo:Africa countries imagemap Umoja wa Afrika, bila kuuhusisha na Tume ya AU, umeundwa na katiba ya Muungano, ambayo inalenga kubadili Jumuiya ya Kiuchumi ya Afrika, ambayo ni jumuia ya madola hadi taifa linalofahamika chini ya mikataba ya kimataifa. Umoja wa Afrika una serikali yenye bunge, linalojulikana kama Serikali ya Umoja wa Afrika, ambayo ina mfumo wa utungaji sheria , mahakama na serikali. Inaongozwa na Rais wa Umoja wa Afrika ambaye ndiye Mkuu wa Nchi na pia Rais wa Bunge la Africa. Mtu anakuwa Rais wa Umoja wa Afrika kwa kuchaguliwa kuwa mbunge wa bunge la Umoja wa Afrika, na hatimaye kupata umaarufu katika Bunge la Afrika.
Nguvu na mamlaka ya Rais wa Bunge la Afrika hutokana na katiba ya Muungano, na Itifaki ya Bunge la Africa, ikiwemo urithi wa mamlaka ya Rais kama inavyoelezwa na mikataba ya Kiafrika na ya kimataifa, pamoja na wasaidizi wa Katibu Mkuu wa Sekretarieti ya {0 Umoja wa Afrika{/0} (Tume ya Umoja wa Afrika, AU) kwa Bunge la Afrika. Serikali ya AU inajumuisha shirikisho zote, kikanda, kitaifa, na mamlaka ya manisipaa, halikadhalika mamia ya taasisi, ambayo kwa pamoja huendesha shughuli za kila siku za shirika hilo.
Kuna ishara wazi ya kuongezeka kwa ushirikiano kati ya mashirika na mataifa ya Afrika. Katika vita vya wenyewe kwa wenyewe katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (iliyojulikana zamani kama Zaire), kuliko taifa tajiri zisizo za Kiafrika kuingilia kati, nchi jirani za Afrika zilishiriki (tazama pia Vita ya Pili vya Kongo). Tangu kuanza kwa vita mnamo 1998, inakadiriwa kuwa vifo vimefikia milioni 5. Vyama vya kisiasa kama vile Umoja wa Afrika hutoa matumaini kwa ushirikiano mkubwa na amani kati ya mataifa mbalimbali barani. Kuna visa vingi vya ukiukwaji wa haki za binadamu katika maeneo kadhaa ya Afrika, mara nyingi chini ya "macho" ya serikali. Wingi wa ukiukaji hutokea kwa sababu za kisiasa, mara nyingi kama athari inayotokana na vita vya kikabila. Nchi ambazo zina ukiukaji mkubwa wa haki za binadamu zilizotajwa katika nyakati za hivi karibuni ni pamoja na Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, Sierra Leone, Liberia, Sudan, Zimbabwe, na Cote d'Ivoire.
[hariri] Uchumi
Ingawa ina maliasili nyingi, Afrika inabakia kuwa bara maskini sana duniani na lenye maendeleo duni, kutokana na sababu mbalimbali ambazo virusi vya Ukimwi / UKIMWI na malaria), serikali fisadi ambazo kwa mara nyingi zimekiuka haki za binadamu, kushindwa katika mipango ya kuendesha serikali, viwango vya juu sana vya ujinga, ukosefu wa upatikanaji wa mitaji ya kigeni, migogoro ya mara kwa mara ya kikabila na ya kijeshi (kuanzia vita vya msituni hadi mauaji yahalaiki ya watu). [40] Kulingana na ripoti ya Umoja wa Kimataifa ya Maendeleo ya Binadamu ya mwaka wa 2003, mataifa 25 ya chini (151 hadi 175) yalikuwa yote ya Afrika. [41]
Umaskini, ujinga, utapiamlo na uhaba wa maji na usafi wa mazingira, pamoja na hali mbaya ya afya, huathiri idadi kubwa ya watu wanaoishi katika bara la Afrika. Mnamo Agosti 2008, Benki ya Dunia [42] ilitangaza upya makadirio ya umaskini duniani kwa kutoa msingi mpya wa kimataifa wa umaskini wa dola 1.25 kwa kila siku (kipimo kilicholinganishwa na cha hapo awali $ 1.00). Asilimia 80.5 ya idadi ya watu wanaoishi chini ya Jangwa la Sahara walikuwa wakitumia chini ya dola 2,50 (PPP) kwa siku mnamo mwaka wa 2005, ikilinganishwa na 85.7% ya India. [43] Takwimu hizi mpya zinathibitisha kwamba sehemu ya Afrika kusini mwa Sahara imekuwa na mafanikio ya kiwango cha chini mno duniani katika kupunguza umaskini ($ 1,25 kwa siku); Asilimia 50 ya watu waliishi katika umaskini mnamo 1981 (watu milioni 200), takwimu iliyoongezeka hadi 58 % mnamo mwaka wa 1996 kabla ya kupungua hadi 50% mnamo mwaka wa 2005 (yapata watu milioni 380 ). Mtu aliye na umaskini wa wastani katika Afrika chini Jangwa la Sahara anakadiriwa kuishi kwa senti 70 tu kwa siku, na alikuwa maskini zaidi mnamo mwaka wa 2003 kuliko alivyokuwa mnamo mwaka wa 1973 [44] jambo linaloonyesha kuongezeka kwa umaskini katika baadhi ya maeneo. Baadhi ya sababu zinatokana na programu huria za kiuchumi zisizo za kufana zikiongozwa na makampuni ya kigeni na serikali, lakini tafiti nyingine na ripoti nyingi zimeonyesha kuwa sera mbaya za serikali ya ndani zinachangia zaidi kuliko mambo ya nje. [45] [46] [47]
Kati ya 1995 na 2005, uchumi wa Afrika ulikua kwa wastani ukiwa asilimia 5 mnamo mwaka wa 2005. Baadhi ya nchi zilishuhudia ukuaji wa kiwango cha juu, hasa Angola, Sudan na Equatorial Guinea, zote zilikuwa zimeanza kuchimba {0 hazina yao ya }mafuta au walikuwa wamepanua uwezo wao wauchimbaji mafuta wakati huo. Bara hili lina asilimia 90 ya madini ya kobalti duniani, asilimia 90 ya platinamu , asilimia 50 ya dhahabu , asilimia 98 ya kromiamu, asilimia 70 ya tantalite [48] asilimia 64 ya manganisi duniani na thuluthi moja ya urani duniani. [49] DRC ina asilimia 70 ya koltani duniani, na rununu nyingi duniani zina koltani ndani yao. Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo pia ina zaidi ya asilimia 30 ya hifadhi ya almasi duniani. [50] Guinea ndilo taifa kubwa sana duniani linalouza boksiti kwa nchi za nje. [51] Katika miaka ya karibuni, Jamhuri ya Wananchi ya China imejenga uhusiano wa hali ya juu na mataifa ya Afrika. Mnamo mwaka wa 2007, makampuni ya Kichina yalitumia jumla ya dola bilioni 1 za Marekani kuwekezea Barani Afrika. [52]
[hariri] Demografia
Idadi ya wakazi barani Afrika imeongezeka kwa kasi sana katika miaka 40 iliyopita, na wengi ni vijana. Katika baadhi ya mataifa ya Afrika, nusu au zaidi ya idadi ya watu ni wa chini ya umri wa miaka 25. [53] Idadi ya watu barani Afrika ilikua kutoka milioni 221 mnamo mwaka wa 1950 hadi bilioni 1 mnamo mwaka wa 2009. [54] [55]
Wasemaji wa lugha za Kibantu (sehemu ya familia ya Niger-Congo) ndio wengi katika sehemu za kusini, kati na Afrika Mashariki katika bara hili la Afrika. Lakini pia kuna makundi mengine ya Kinailotiki katika Afrika Mashariki na wachache waliobakia ni wazawa wa Khoisan ( 'San' au 'Watu wa Msituni') na Mbilikimo walio kusini na sehemu ya kati barani Afrika, mtawalia. Waafrika wanaozungumza lugha za Kibantu pia wanapatikana kwa wingi katika nchi za Gabon na Equatorial Guinea , na hupatikana pia katika maeneo ya kusini mwa Cameroon. Katika jangwa la Kalahari iliyo Kusini mwa Afrika, watu tofauti wanaojulikana kama Bushmen (pia "San", walio na uhusiano wa karibu sana na , lakini tofauti na "Hottentots") wamekuwapo kwa muda mrefu. Jamii ya San ni tofauti na Waafrika wengine na ndio watu wa asili ya kusini mwa Afrika. Mbilikimo ni wazawa wa Kibantu wenye asili ya Afrika ya kati. [56]
Watu wa Afrika Kaskazini wako katika makundi mawili makuu; {0)wanaoongea Kibaba{/0} na kiarabu katika upande wa magharibi, na Wamisri katika upande wa mashariki. Waarabu ambao waliwasili katika karne ya saba walianzisha lugha ya Kiarabu na Uislamu katika Afrika ya Kaskazini. Wafoinike ya Kisemiti, Wairan , Wayunani kutoka Ulaya , Warumi na Wavandali vilevile walitengeneza makao yao katika Afrika ya Kaskazini. Wababa bado ndio wengi kati ya watu wanaoishi katika nchi ya Moroko, ilhali wao ndio wachache sana katika nchi ya Algeria. Wanapatikana pia kule Tunisia na Libya ya sasa. [57] Watuaregi na waja wengine ambao kwa mara nyingi huzungumza Kinomadi [[]] ndio wenyeji wakuu wanaoishi katika Sahara Kaskazini mwa Afrika. Wanubi ni watu wa kundi la waja wa sahara wanaoongea Kiniloti[[]] (ingawa wengi pia huzungumza Kiarabu) ambao walionyesha maendeleo ya kale ya utamaduni katika kaskazini mashariki mwa Afrika.
Baadhi ya makundi kule Ethiopia na Eritrea(kama Waamhara na Watigri, wanaojulikana kwa pamoja kama "Habesha") huzungumza lugha za Kisemiti. Watu wa asili ya Kioromo na Kisomali huzungumza lugha za Kikushiti, lakini baadhi ya koo za Kisomali huelekeza uanzilishi wao kwa mashujaa waanzilishi wa Kiarabu. Sudan na Mauritania zimegawanywa katika sehemu ya kaskazini iliyo na Waarabu wengi na kusini iliyojazwa na waja wenye asili ya Kiafrika (ingawa ni wazi kuwa "Waarabu" wa Sudan wana asili ya Kiafrika). Baadhi ya maeneo ya Afrika Mashariki, hasa katika kisiwa cha Zanzibar na kisiwa cha Lamu kilichoko nchini Kenya, yalipokea Waarabu Waislamu na wakazi kutoka Kusini Magharibi mwa Asia na wafanyabiashara katika Zama za Kati na za zamani. [58]
Kabla ya harakati za kumaliza ukoloni za baada ya nyakati za Vita ya Pili vya Dunia, Wazungu walikuwa wakiwakilishwa katika kila sehemu ya Afrika. [59] Harakati za kumaliza ukoloni katika miaka ya 1960 na 1970 zilisababisha uhamaji wa walowezi wa kizungu kutoka Barani Afrika - hasa kutoka Algeria (pieds-noirs), [60] Kenya, Kongo, [61] Angola, [62] Msumbiji na Zimbabwe. Hata hivyo, Waafrika weupe bado wana umuhimu ingawa ni wachache katika nchi nyingi za Afrika. Nchi ya Afrika iliyo na idadi kubwa zaidi ya wazungu ni Afrika Kusini. [63] Watu wa jamii ya Afrikaner, Wazungu-Afrika na chotara ndiyo makundi makubwa zaidi ya kizazi cha asili ya Wazungu walio barani Afrika hii leo.
Ukoloni wa Wazungu pia ulileta makundi makubwa ya Waasia, hasa watu kutoka Bara Hindi, na koloni za Uingereza. Jamii kubwa za Wahindi zinapatikana katika Afrika ya Kusini, na zingine ndogo ziko nchini Kenya, Tanzania, na baadhi ya nchi zilizo kusini na pia nchi za Afrika Mashariki. Jamii kubwa ya Kihindi iliyoishi Uganda ilifukuzwa na dikteta Idi Amin mnamo mwaka wa 1972, ingawa wengi walirudi huko baadaye. Visiwa katika Bahari ya Hindi pia vina wakazi wengi kimsingi na watu wa asili ya Asia, mara nyingi wakichanganyika na Waafrika na Wazungu. [[Watu wa jamii ya Malagasi/0} wa kutoka Madagascar ni Waastronesia ,|Watu wa jamii ya Malagasi/0} wa kutoka Madagascar ni Waastronesia ,]] lakini wale wanaoishi kando ya pwani kwa ujumla wamechanganyika na Wabantu,Waarabu Wahindi na wa asili ya Kizungu. Historia ya Malay na India pia ni ya muhimu katika kundi la watu wanaoishi Afrika ya Kusini linalojulikana kama Chotara wa Cape(watu wenye asili katika jamii mbili au zaidi na mabara). Katika karne ya 20,jamii ndogo lakini muhimu kiuchumi za Lebanon na zaKichina [52] pia zimezuka katika miji mikubwa ya pwani ya Magharibi na Afrika Mashariki, mtawalia. [64]
[hariri] Lugha
Kwa makadirio mengi, zaidi ya lugha elfu moja (UNESCO imekadiria karibu elfu mbili) zinazungumzwa katika bara la Afrika. [65] Nyingi ya lugha hizi ni za asili ya Kiafrika, ingawa baadhi ni za asili ya Kizungu au Asia. Afrika ndilo bara lenye lugha nyingi duniani[[]], na si nadra kwa watu binafsi kuzungumza lugha nyingi za Kiafrika kwa usahihi bali wanaongezea moja au zaidi ya lugha za Kizungu vilevile. Kuna familia nne kuu za lughaza asili ya Kiafrika.
- Lugha za mchanganyika wa Kiafrika na Kiasia ambazo ni familia ya lugha zaidi ya 240 na wazungumzaji milioni 285 ambao wameenea katika Pembe ya Afrika, Afrika Kaskazini, Sahel, na Asia ya Magharibi.
- Familia ya lugha ya mchanganyiko wa Kinilotiki na Kisahara [[' ]] ambayo ina zaidi ya lugha mia moja zinazozungumzwa na watu milioni 30. Lugha za mchanganyiko wa Kinilotiki na Kisahara zinazungumzwa na makabila ya Kinilotiki nchini Chad, Ethiopia, Kenya, Sudan, Uganda, na kaskazini mwa Tanzania.
- Familia ya lugha ya mchanganyiko wa Kiniger na Kikongo inahusisha sehemu kubwa ya Afrika chini ya Sahara na pengine ndiyo familia kubwa ya lugha duniani miongoni mwa lugha nyingine.
- Lugha za Khoisan ziko karibu hamsini na zinazungumzwa katika Afrika ya Kusini na takriban watu 120,000. Nyingi za lugha za Khoisan ziko katika hatua ya kutokomea. Jamii za Khoi na San ndizo wenyeji wa asili wa sehemu hii ya Afrika.
Kufuatia mwisho wa ukoloni, karibu nchi zote za Afrika ziliteua lugha rasmi ambazo zilikuwa na asili nje ya bara ingawa nchi kadhaa pia zilitambua kisheria lugha za kiasili (kama vile Kiswahili, Kiyoruba, Kiigbo na Kihausa). Katika nchi mbalimbali, Kiingereza na Kifaransa (angalia Kifaransa cha Kiafrika) [[]] hutumiwa kwa mawasiliano katika nyanja za umma kama vile serikali, biashara, elimu na vyombo vya habari. Kiarabu, Kireno, Kiafrikaans na Kimalagasi ni mifano ya lugha ambazo zina asili nje ya bara la Afrika, na ambazo zinatumika na mamilioni ya Waafrika hii leo, katika nyanja za umma na za kibinafsi.
[hariri] Utamaduni
Utamaduni wa kisasa wa Afrika una sifa za utaifa wa Kiarabu na Ubeberu wa Kizungu. Kigezo:Citation needed Katika miaka ya kuanzia 1990, Waafrika wamekuwa wakijaribu kuelewa utambulisho wao. Kigezo:Citation needed Katika Afrika ya Kaskazini, hasa kwa sababu ya kukataliwa kwa kitambulisho cha Kiarabu au cha Kizungu, kuna mahitaji ya kuhifadhi lugha za Kibaba na utamaduni wa kiasili nchini Morocco, Misri, Algeria na Tunisia. Kigezo:Citation needed Kuibuka tena kwa harakati za Muungano wa Africa tangu kuanguka kwa sera ya ubaguzi wa rangi kumeimarisha [[]]wito wa utambulisho wa Afrika. Kigezo:Citation needed Katika Afrika ya Kusini, wasomi kutoka jumuiya za walowezi wa kizunguza wanajitambulisha kama Waafrika kwa sababu za kitamaduni wala sio za , kijiografia au kirangi. Kawaida, baadhi yao wamepitia matambiko ya kitamaduni ili kutambuliwa kuwa Wazulu au wa kutoka jamii zingine. Kigezo:Citation needed
Nyingi za tamaduni za jadi za Kiafrika zimedidimia katika miaka ya hivi karibuni kutokana na kupuuzwa kwa miaka mingi na kukandamizwa na serikali za ukoloni na za baada ya ukoloni. Kigezo:Citation needed Kwa sasa kumeibuka na jitihada za kujitambua upya na kudhamini mila na tamaduni za Kiafrika,chini ya vuguvugu kama Ufufuo wa Afrika linaloongozwa na Thabo Mbeki, Afrocentrism, linaloendeshwa na kundi la wasomi, akiwemo Molefi Asante, na vile vile utambuzi wa itikadi za dini za kijadi kwa kuondoa sheria zilizopinga shughuli za makundi kama ya Vodou na mengine ya kidini. Katika miaka ya hivi karibuni, utamaduni wa jadi wa Kiafrika umehusishwa na umaskini vijijini na ukulima wa kiwango cha chini. Kigezo:Citation needed
Kwa kiasi kikubwa ,ufadhili wa masomo barani Afrika ulishughuikia mahitaji ya kigeni na kutoa sura isiyokuwa ya hakika kuhusu Afrika. Utekelezaji wa amri na sera za serikali ulionekana kuzalisha athari ambazo zilithibitisha misimamo hasi ya wakoloni wazungu.
[hariri] Sanaa na usanifu wa majengo
Sanaa na usanifu wa majengo wa Kiafrika unabainisha tofauti za tamaduni za Kiafrika. Mifano kongwe ya sanaa kutoka Afrika ni shanga zenye umri wa miaka 82,000 [[]] zilizoundwa kutoka kwa ganda za Nassarius ambazo zilipatikana katika ngazi za Ateriankule Grotte des Pigeons, Taforalt, Morocco. Kigezo:Citation needed Piramidi kuu ya Giza hukoMisri ilikuwa muundo mrefu sana duniani kwa miaka 4,000, hadi kukamilika kwa kanisa la kiparokia la Lincoln Cathedral yapata mwaka wa 1300. Magofu ya mawe ya nchi kuu ya Zimbabwe pia yanajulikana kwa usanifu wake, na mnara mkubwa changamano wa kanisa huko Lalibela, nchini Ethiopia, ambao unawakilisha [[Kanisa la Mtakatifu George{/0). {1/}]]
[hariri] Muziki na ngoma
Misri,kwa muda mrefu imekuwa kielelezo cha utamaduni katika dunia ya Kiarabu, na hifadhi ya midundo ya kusini mwa Sahara Barani Afrika, hususan kule Afrika Magharibi, ilienezwa kupitia [[biashara ya watumwa ya Atlantiki/0} ikawa mitindo ya kisasa ya samba, blues, jazz, reggae, hip hop, na rock |biashara ya watumwa ya Atlantiki/0} ikawa mitindo ya kisasa ya samba, blues, jazz, reggae, hip hop, na rock ]] . Miaka ya 1950 hadi 1970 ilishuhudia mwingiliano wa mitindo hii mbalimbali na mitindo ya muziki ya Afrobeat na Highlife. Miziki wa kisasa barani ni pamoja na nyimbo tata za kusini mwa Afrika na,midundo ya ngoma ya kudengua kiuno ya muziki wa soukous inayopatikana kwa wingi katika muziki wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo. Miziki na ngoma za kiasili za mila za Kiafrika zinahifadhiwa kimapokeo , na ni tofauti na miziki na mitindo ya kucheza ngoma ya Afrika ya Kaskazini na Kusini Athari za Kiarabu zinabainika katika muziki na ngoma ya Afrika Kaskazini na katika sehemu za Kusini mwa Afrika, athari za kizungu ni dhahiri kutokana na ukoloni.
[hariri] Michezo
Nchi hamsini na tatu za Afrika zina timu za kadanda (soka) katika Shirikisho la timu za Kadanda za Afrika, na timu za Cameroon, Nigeria, Senegal, na Ghana zimefuzu hadi kiwango cha nusu fainali katika michwano ya hivi karibuni ya FIFA World Cup. Afrika ya Kusini itakuwa mwenyeji wa mashindano ya Kombe la Dunia mwaka 2010, na itakuwa nchi ya kwanza ya Afrika kutwikwa jukumu hilo.
Mchezo wa kriketi ni maarufu katika baadhi ya mataifa ya Afrika. Afrika ya Kusini na Zimbabwe zimeingia katika kiwango cha Test Status , huku Kenyaikitajwa kama timu bora miongoni mwa timu zisizo za kiwango hicho ambazo zinashiriki katika One-Day International Cricket na imepata taji la kudumu katika One-Day International. Nchi hizo tatu kwa pamoja zilikuwa wenyeji wa michwano ya dunia ya Kriketi ya mwaka wa 2003. Namibia ni taifa lingine la Afrika kuweza kushiriki katika Kombe la Dunia. Moroko ya kaskazini mwa Afrika pia imekuwa mwenyeji wa Kombe la Morocco la mwaka wa 2002, lakini timu hiyo ya taifa haijawahi kuhitimu kwa mashindano makubwa.
[hariri] Dini
Waafrika wana imani katika dini mbalimbali [66] na takwimu kuhusu dini hazipatikani kwa urahisi kwa sababu ni jambo linaloweza kuibua mihemko hasa kwa serikali yenye raia wenye dini mbalimbali. [67] Kulingana na World Book Encyclopedia, Uislamu ndio dini kubwa katika bara la Afrika, ikifuatiwa na Ukristo. Kulingana na Encyclopedia Britannica, 45% ya wakazi wa Afrika ni Waislamu, 40% ni Wakristo na chini ya 15% ni wasiofuata dini yoyote au waumini wa dini za Kiafrika. Idadi ndogo ya Waafrika ni Wahindi, Bahá'í, au wana imani katika dini ya kitamaduni ya kiyahudi. Mifano ya Wayahudi Waafrika ni Beta Israel, Lemba Peoples na Waabayudaya wa Uganda Mashariki.
[hariri] Mataifa na maeneo
Nchi zilizo katika jedwali hili zimewekwa katika makundi kulingana na mpango wa kugawa katika maeneo ya kijiografia kama inavyotumiwa na Umoja wa Mataifa, na data inayojumlishwa ni kwa mujibu wa marejeleo katika makala yanayohusika. Pale ambapo kuna hitilafu , imebainishwa kwa uwazi unaohitajika.
(| Width = 155px style = "float: right; margin-right: 0.0em;"
|
| -- | | -- | | --
|
| --
|
| --
|
|)
(| Border = "1" cellpadding = "4" cellspacing = "0" style = "border: 1px solid # aaa; border-collapse: collapse" | - bgcolor = "# ECECEC"! Jina la mkoa [68] | Align = "right" | 29.2 | Kinshasa | -- | Kigezo:Country data Equatorial Guinea Guinea ya Ikweta | Align = "right" | 28051 | Align = "right" | 633,441 [69] | Align = "right" | 22.6 | Malabo | -- | Kigezo:Country data Gabon Gabon | Align = "right" | 267,667 | Align = "right" | 1,514,993 [69] | Align = "right" | 5.6 | Libreville | -- | Kigezo:Country data São Tomé and Príncipe São Tomé na Príncipe | Align = "right" | 1001 | Align = "right" | 212,679 [69] | Align = "right" | 212.4 | Sao Tome | -- | Style = "background: # eee;" | Kaskazini mwa Afrika: | Align = "right" style = "background: # eee;" | 8,533,021 | Align = "right" style = "background: # eee;" | 211,087,622 | Align = "right" style = "background: # eee;" | 24.7 | -- | Kigezo:Country data Algeria Algeria | Align = "right" | 2,381,740 | Align = "right" | 34,178,188 [69] | Align = "right" | 14.3 Algiers | -- | Kigezo:Country data Egypt Misri [70] | Align = "right" | 1,001,450 | Align = "right" | 83,082,869 [69] jumla, Asia 1.4m | Align = "right" | 82.9 | Cairo | -- | Kigezo:Country data Libya Libya | Align = "right" | 1,759,540 | Align = "right" | 6,310,434 [69] | Align = "right" | 3.6 | Tripoli | -- | Kigezo:Country data Morocco Moroko | Align = "right" | 446,550 | Align = "right" | 34,859,364 [69] | Align = "right" | 78.0 | Rabat | -- | Kigezo:Country data Sudan Sudan | Align = "right" | 2,505,810 | Align = "right" | 41,087,825 [69] | Align = "right" | 16.4 | Khartoum | -- | Kigezo:Country data Tunisia Tunisia | Align = "haki" | 163610 | Align = "right" | 10,486,339 [69] | Align = "right" | 64.1 | Tunis | -- | Kigezo:Country data Western Sahara Magharibi ya Sahara [71] | Align = "right" | 266.000 | Align = "right" | 405,210 [69] | Align = "right" | 1.5 | El Aaiún | -- | Colspan = 5 | Nchi za Hispania na Ureno katika Afrika ya Kaskazini: | -- | Kigezo:Country data Canary Islands Visiwa vya Kanari (Hispania) [72] | Align = "right" | 7492 | Align = "right" | 1.694.477 (2001) | Align = "right" | 226.2 | Las Palmas de Gran Canaria,
Santa Cruz de Tenerife | -- | Kigezo:Country data Ceuta Ceuta (Hispania) [73] | Align = "right" | 20 | Align = "right" | 71.505 (2001) | Align = "right" | 3,575.2 | -- | -- | Kigezo:Country data Madeira Visiwa vya Madeira (Ureno) [74] | Align = "right" | 797 | Align = "right" | 245.000 (2001) | Align = "right" | 307.4 | Funchal | -- | Kigezo:Country data Melilla Melilla (Hispania) [75] | Align = "right" | 12 | Align = "right" | 66.411 (2001) | Align = "right" | 5,534.2 | -- | -- | Style = "background: # eee;" | Afrika ya Kusini: | Align = "right" style = "background: # eee;" | 2,693,418 | Align = "right" style = "background: # eee;" | 56,406,762 | Align = "right" style = "background: # eee;" | 20.9 | -- | Kigezo:Country data Botswana Botswana | Align = "right" | 600,370 | Align = "right" | 1,990,876 [69] | Align = "right" | 3.3 | Gaborone | -- | Kigezo:Country data Lesotho Lesotho | Align = "right" | 30355 | Align = "right" | 2,130,819 [69] | Align = "right" | 70.2 | Maseru | -- | Kigezo:Country data Namibia Namibia | Align = "right" | 825,418 | Align = "right" | 2,108,665 [69] | Align = "right" | 2.6 Windhoek | -- | Kigezo:Country data South Africa Afrika ya Kusini | Align = "right" | 1,219,912 | Align = "right" | 49,052,489 [69] | Align = "right" | 40.2 | Bloemfontein, Cape Town, Pretoria [76] | -- | Kigezo:Country data Swaziland Swaziland | Align = "right" | 17363 | Align = "right" | 1,123,913 [69] | Align = "right" | 64.7 | Mbabane | -- | Style = "background: # eee;" | Afrika ya Magharibi: | Align = "right" style = "background: # eee;" | 6,144,013 | Align = "right" style = "background: # eee;" | 296,186,492 | Align = "right" style = "background: # eee;" | 48.2 | -- | Kigezo:Country data Benin Benin | Align = "right" | 112,620 | Align = "right" | 8,791,832 [69] | Align = "right" | 78.0 | Porto-Novo | -- | Kigezo:Country data Burkina Faso Burkina Faso | Align = "right" | 274,200 | Align = "right" | 15,746,232 [69] | Align = "right" | 57.4 | Ouagadougou | -- | Kigezo:Country data Cape Verde Cape Verde | Align = "right" | 4033 | Align = "right" | 429,474 [69] | Align = "right" | 107.3 | Praia | -- | Kigezo:Country data Côte d'Ivoire Côte d'Ivoire | Align = "right" | 322,460 | Align = "right" | 20,617,068 [69] | Align = "right" | 63.9 | style = "font-size: 89%" | Abidjan, [77] Yamoussoukro | -- | Kigezo:Country data Gambia Gambia | Align = "right" | 11300 | Align = "right" | 1,782,893 [69] | Align = "right" | 157.7 | Banjul | -- | Kigezo:Country data Ghana Ghana | Align = "right" | 239,460 | Align = "right" | 23,832,495 [69] | Align = "right" | 99.5 | Accra | -- | Kigezo:Country data Guinea Guinea | Align = "right" | 245,857 | Align = "right" | 10,057,975 [69] | Align = "right" | 40.9 | Conakry | -- | Kigezo:Country data Guinea-Bissau Guinea-Bissau | Align = "right" | 36120 | Align = "right" | 1,533,964 [69] | Align = "right" | 42.5 | Bissau | -- | Kigezo:Country data Liberia Liberia | Align = "right" | 111,370 | Align = "right" | 3,441,790 [69] | Align = "right" | 30.9 | Monrovia | -- | Kigezo:Country data Mali Mali | Align = "right" | 1,240,000 | Align = "right" | 12,666,987 [69] | Align = "right" | 10.2 | Bamako | -- | Kigezo:Country data Mauritania Mauritania | Align = "right" | 1,030,700 | Align = "right" | 3,129,486 [69] | Align = "right" | 3.0 | Nouakchott | -- | Kigezo:Country data Niger Niger | Align = "right" | 1,267,000 | Align = "right" | 15,306,252 [69] | Align = "right" | 12.1 | Niamey | -- | Kigezo:Country data Nigeria Nigeria | Align = "right" | 923,768 | Align = "right" | 149229090 [69] | Align = "right" | 161.5 | Abuja | -- | Kigezo:Country data Saint Helena, Ascension and Tristan da Cunha Saint Helena, Kupaa na Tristan da Cunha (UK) | Align = "right" | 410 | Align = "right" | 7637 [69] | Align = "right" | 14.4 | Jamestown | -- | Kigezo:Country data Senegal Senegal | Align = "right" | 196,190 | Align = "right" | 13,711,597 [69] | Align = "right" | 69.9 | Dakar | -- | Kigezo:Country data Sierra Leone Sierra Leone | Align = "right" | 71740 | Align = "right" | 6,440,053 [69] | Align = "right" | 89.9 | Freetown | -- | Kigezo:Country data Togo Togo | Align = "right" | 56785 | Align = "right" | 6,019,877 [69] | Align = "right" | 106.0 | Lomé | - Style = "font-weight: bold;" | Afrika Total | Align = "right" style = "background: # eee;" | 30,368,609 | Align = "right" style = "background: # eee;" | 1001320281 | Align = "right" style = "background: # eee;" | 33.0 |)
[hariri] Tazama pia
- Orodha ya nchi za Afrika na idadi ya wakazi
- Orodha ya miji ya Afrika
- Miji katika Afrika
- Orodha ya mada zinazohusiana na Afrika
- Milima mirefu sana ya Afrika
[hariri] Marejeo
- ↑ 1.0 1.1 [4] ^ Sayre, Pulley ya Aprili. (1999) Afrika, Vitabu vya karne ya ishirini na moja. ISBN 0-7613-1367-2.
- ↑ Homo sapiens: University of Utah News Release: Feb. 16, 2005.
- ↑ Majina ya nchi, Decret na Fantar, 1981
- ↑ 4.0 4.1 [10] ^ Jamii ya Berbers, kwa eneo la kijiografia. Babington Michell, p 161, 1903, Jarida kuhusu Waafrika matajiri na wenye fahari kitabu juu ya wakati mfupi sana
- ↑ [12] ^ Itineraria Foinike, Edward Lipinski, Wachapishaji wa Peeters, p200, 2004, ISBN 9042913444 Kitabu kinachohusu wakati mfupi sana
- ↑ Consultos.com etymology.
- ↑ [15] ^ 'Chimbuko cha Nile: kazi ya Gerald Massey'
- ↑ 8.00 8.01 8.02 8.03 8.04 8.05 8.06 8.07 8.08 8.09 8.10 8.11 8.12 8.13 8.14 8.15 8.16 8.17 8.18 8.19 Jacobs, Louis L. (1997). "Dinosaurs wa Afrika." Huru ya Dinosaurs. Imekosolewa na Phillip J. Currie na Kevin Padian. Academic Press. uk. 2-4.
- ↑ [41] ^ utafiti wa uzazi waonyesha kuwa mzizi wa binadamu iko katika bara la Afrika, BBC News | SCI / TECH
- ↑ [42] ^ Uhamiaji wa awali wa Wanadamu Kutoka Afrika, imewezeshwa na Wet Weather, sciencedaily.com
- ↑ Kimbel, William H. na Yoel RAK na Donald C. Johanson. (2004) Fuvu la Australopithecus Afarensis, Oxford University Press Marekani. ISBN 0-19-515706-0.
- ↑ Tudge, Colin. (2002) Wingi wa mambo tofauti tofauti Maishani., Chumba cha habari cha Chuo Kikuu cha Oxford. ISBN 0-19-860426-2.
- ↑ van Sertima, Ivan. (1995) Misri: Mtoto wa Afrika / S V12 (Ppr), Wachapishaji wa Transaction. uk. 324-325. ISBN 1-56000-792-3.
- ↑ Mokhtar, G. (1990) UNESCO Historia ya ujumla ya Afrika, Vol. II, Toleo lililofupishwa: Afrika ya hapo jadi, Nyumba ya habari ya Chuo Kikuu cha California. ISBN 0-85255-092-8.
- ↑ Eyma, AK na CJ Bennett. (2003) Delts-Man katika Yebu: toleo la mara moja moja ya Egyptologists 'Electronic Forum No 1, wachapishaji wa Universal. s. 210. SBN 1-58112-564-X.
- ↑ Diamond, Jared. (1999) "Bunduki, vidudu na chuma cha pua: Fali za Vyama vya Binadamu. New York: Norton, pp.167.
- ↑ 17.0 17.1 17.2 O'Brien, Patrick K. (Mhariri wa kijumla). Kitabu cha ramani cha Oxford kuhusu historia ya dunia. New York: Chumba cha habari cha chuo kikuu cha Oxford, 2005. pp.22-23
- ↑ Martin na O'Meara. "Afrika, 3rd Ed." Indiana: Chumba cha habari cha Chuo kikuu cha Indiana, 1995. [1]
- ↑ [57] ^ Je, Wamisri ndio walikuwa waandishi wa kwanza?, BBC News | Sci / Tech
- ↑ Hassan, Fekri A. (2002) Ukame, Chakula na Utamaduni, Springer. s. 17. ISBN 0-306-46755-0.
- ↑ McGrail, Sean. (2004) {0Mashua za Dunia,{/0} Chumba cha habari cha chuo kikuu cha Oxford. s. 48. ISBN 0-19-927186-0.
- ↑ (2001) History in Black: African-Americans in Search of an Ancient Past. Taylor & Francis, 77. ISBN 0-714-68216-0.
- ↑ Fage, JD (1979) Cambridge, Historia ya Afrika, Chumba cha habari cha chuo kikuu cha Cambridge. ISBN 0-521-21592-7.
- ↑ Oliver, Roland na Anthony Atmore. (1994) Afrika Tangu mwaka wa 1800, Chumba cha habari cha Cambridge. ISBN 0-521-42970-6.
- ↑ [67] ^ Misri ya Ptolemaic na Kirumi: 332 BC-395 AD
- ↑ Ayoub, Mahmoud M. (2004). Islam: Faith and History. Oxford: Oneworld, 76, 92–3, 96–7.
- ↑ [74] ^ Glick, Thomas F. Uislamu Na Ukristo kule Uhispania katika miaka ya kitambo. (2005)Wachapishaji wa kiakademia wa Brill Page 37
- ↑ [75] ^ Ushahidi wa uzazi kwa ajili ya upanuzi wa makabila ya Arabia hadi Kusini mwa Levant na Afrika Kaskazini
- ↑ [76] ^ Ira M. Lapidus, A Historia ya vyama vya Kiislamu, Cambridge 1988
- ↑ [83] ^ Kutanga dhidi ya utumwa.By Jo Loosemore BBC
- ↑ Drysdale, Alasdair na Gerald H. Blake. (1985) a Mashariki ya Kati na Afrika Kaskazini, Chumba cha Habari cha chuo kikuu cha Oxford Marekani. ISBN 0-19-503538-0.
- ↑ Atlas - Xpeditions @ nationalgeographic.com. National Geographic Society (2003). Retrieved on 2009-03-01.
- ↑ Lewin, Evans. (1924) Afrika, Chumba cha habari cha Clarendon.
- ↑ 34.0 34.1 [97] ^ (1998) Merriam-Union's kamusi ya kijiografia (Dibaji), Merriam-Union. uk. 10-11. ISBN 0-87779-546-0.
- ↑ Hoare, Ben. (2002) The Kingfisher ZZ Encyclopedia, ituo cha uchpishaji cha Kingfisher.. 11. ISBN 0-7534-5569-2.
- ↑ [101] ^ ukataji miti yafika kiwango cha kuhofisha - UN. AfricaNews. 11 Juni 2008.
- ↑ [102] ^ misitu na ukataji miti katika Afrika -Kuharibiwa kwa rasilimali kubwa. afrol News.
- ↑ [103] ^ Sehemu za ardhi ya ndani ya bara - misitu Madagascar subhumid misitu (AT0118), National Geographic.
- ↑ [104] ^ Taka ya : Uharibifu wa Afrika. The Independent. 11 Juni 2008.
- ↑ [107] ^ Richard Sandbrook, Siasa za Afrika na kutoimarika kwa uchumi, chombo cha habari cha chuo kikuu cha Cambridge , Cambridge, 1985 passim
- ↑ [2] Umoja wa Mataifa
- ↑ [110] ^ Benki kuu ya Dunia yahariri Makadirio ya kiwango cha Umaskini kwa nchi zinazoendelea
- ↑ The developing world is poorer than we thought, but no less successful in the fight against poverty. World Bank.
- ↑ [113] ^ ripoti ya Kiuchumi ya Afrika 2004: kuonyesha uwezo wa Afrika katika uchumi wa kimataifa, ( kikao cha 28 Juni - 23 Julai 2004) Umoja wa Mataifa
- ↑ [114] ^ Kutoka katika vifungo vya kisasa na hali ya Kiuchumi na Kisiasa ya Afrika ya siku zijazo
- ↑ [115] ^ Hali ya kupendelewa katika bara Afrika - biashara huria ya kisasa, kujilainisha na yanayoendelea, na majibu ya Afrika
- ↑ http://www.turkishweekly.net/news.php?id=58925
- ↑ [117] ^ "Afrika:'kujiinua kwa nchi zilizoenelea katika bara hii". AllAfrica.com. 7 Februari 2008.
- ↑ [118] ^ "Uhusiano mpya kati ya Afrika na Uchina ". Times Online. Februari 10, 2008.
- ↑ [119] ^ "Uchaguzi wa DR Congo ni muhimu kwa Afrika". BBC News. Novemba 16, 2006.
- ↑ [120] ^ "Uchina yakaza mshikilio wake wa Afrika kwa kupitia dola biloni 4.4 kwa wanamgambo wa Guinea". The Times. 13 Oktoba 2009.
- ↑ 52.0 52.1 [121] ^ "Uchina na Afrika: mahusiano ya hali ya juu ya kiuchumi yamaanisha kuongezeka katika uhamiaji". Na Malia Politzer, Migration Information Source. Agosti 2008.
- ↑ Africa Population Dynamics.
- ↑ [125] ^ Idadi ya wakazi. Chuo kikuu cha Kentucky ya Magharibi.
- ↑ [126] ^ sasa idadi ya wakazi ya Afrika yafika bilioni 1. AfricaNews. Agosti 25, 2009.
- ↑ [127] ^ Mbilikimo wajikaza kuishi katika eneo la vita ambapo dhuluma ni ya mara kwa mara. Times Online. 16 Desemba 2004.
- ↑ [128] ^ Maswali na majibu: Akina Berbers. BBC News. 12 Machi, 2004.
- ↑ Hadithi ya Afrika. Idhaa ya ulimwengu ya BBC.
- ↑ "Tunataka nchi yetu" (3 ya 10). Wakati. 5 Novemba 1965
- ↑ Afrika Kaskazini baada ya 1830. Britannica Online Encyclopedia.
- ↑ [132] ^ Kutekwa kwa Meli. Wakati. 25 Julai 1960
- ↑ [133] ^ Safari kwa ndege kutoka Angola, The Economist, Agosti 16, 1975
- ↑ [https: / / www.cia.gov / library / publications / the-dunia-factbook / geos / sf.html # Watu wa Afrika ya Kusini: Watu: Makabila.] Kitabu cha ulimwengu cha Factbook cha CIA
- ↑ [136] ^ Wahamiaji kutoka Lebanon waimarisha hali ya uchumi ya Afrika Magharibi, Na Naomi Schwarz, voanews.com, Julai 10
- ↑ Africa. UNESCO (2005). Retrieved on 2009-03-01.
- ↑ [152] ^ "Dini za Afrika kwenye mtandao", chuo kikuu cha Stanford
- ↑ Onishi, Normitsu (November 1, 2001). Rising Muslim Power in Africa Causing Unrest in Nigeria and Elsewhere. The New York Times Company. Retrieved on 2009-03-01.
- ↑ mikoa ya Bara kulingana na UN categorisations / map.
</ Ref> na
wilaya, pamoja na flag ! Eneo
(km ²)! Idadi
(2009 est) isipokuwa pale ambapo alibainisha </ dogo>! Msongamano
(per km ²)! Capital | - | style = "background: # eee;" |' Afrika Mashariki : | align = "right" style = "background: # eee; "|6, 384,904 '| align =" right "style =" background: # eee; "|316, 053,651 | align =" right "style =" background: # eee; "| '49 .5 '| - | ((flagicon | Burundi)) Burundi | align = "right" | 27830 | align = "right" | 8,988,091
[hariri] Usomi wa ziad
- Asante, Molefi (2007). The History of Africa. USA: Routledge. ISBN 0415771390.
- Clark, J. Desmond (1970). The Prehistory of Africa. London: Thames and Hudson. ISBN 9780500020692.
- Crowder, Michael (1978). The Story of Nigeria. London: Faber. ISBN 9780571049479.
- Davidson, Basil (1966). The African past; chronicles from antiquity to modern times. Harmondsworth: Penguin. OCLC 2016817.
- Gordon, April A.; Donald L. Gordon (1996). Understanding contemporary Africa. Boulder: Lynne Rienner Publishers. ISBN 9781555875473.
- Khapoya, Vincent B. (1998). The African experience: an introduction. Upper Saddle River, NJ: Prentice Hall. ISBN 9780137458523.
[hariri] Viunganishi vya nje
| Jua habari zaidi kuhusu Afrika kwa kutafuta kupitia mradi wa Wikipedia Sister | |
|---|---|
| Uchambuzi wa kamusi kutoka Wikamusi | |
| Vitabu kutoka Wikitabu | |
| Quotations kutoka Wikidondoa | |
| Source texts kutoka Wikichanzo | |
| Images and media kutoka Commons | |
| News stories kutoka Wikihabari | |
| Learning resources kutoka Wikichuo | |
- Habari za ujumla
- Afrika katika Open Directory Project
- Chumba cha kusomea cha Afrika Mashariki na Afrika kwa ujumla kutoka Library of Congress ya Marekani
- Afrika ya Kusini mwa Jangwa la Sahara kutoka Chuo Kikuu cha Stanford
- Dibaji kuhusu Africa kutoka kwa Baraza la Norwegian ya Afrika
- Afrika kutoka kwa Columbia Gazetteer ya Dunia iliyo hewani
- Alukamaktaba ya kijiditali na ya kitaalamu kuhusu rasilimali kutoka na inayohusu bara Afrika
- Atlasi inayohusu mabadiliko katika Mazingira yetu: Afrika kutoka kwa Mpango wa Mazingira wa Umoja wa Mataifa
- Picha za kufunza kuhusu Afrika kutoka Jeshi la Marekani lililo Afrika
- Historia
- Vyombo vya habari
- allAfrica.com habari za hivi sasa, matukio na takwimu
- Focus on Africa jarida kutoka kwa Idara ya Dunia ya BBC
- Usafiri
- {{{2}}} travel guide kutoka Wikisafiri