Lugha za Kiafrika-Kiasia
Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Lugha za Kiafrika-Kiasia ni familia ya lugha barani Afrika na Asia. Katika familia hiyo kuna lugha takriban 350 zenye wasemaji milioni 350 katika Afrika ya Kaskazini na Asia ya Magharibi, hasa Kiarabu na Kiamhara.
| Makala hii kuhusu mambo ya lugha bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Lugha za Kiafrika-Kiasia kama historia yake, uenezi au maendeleo yake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |