Jiografia

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Rukia: urambazaji, tafuta

Jiografia ni somo la Dunia na vipengele vyake, wakazi wake, na maajabu yake.[1] Neno jiografia linatokana na maneno ya Kigiriki ("Dunia") na graphein ("kuandika"). Ina maana ya "kuandika kuhusu Dunia". Neno hili lilianza kutumiwa kwa mara ya kwanza na mwanasayansi mmoja aitwaye Eratosthenes (276-194 KK).

Sehemu za jiografia ni vitu kama mabara, bahari, mito na milima. Wakazi wake ni watu wote na wanyama waishio juu yake. Maajabu yake ni vitu vinavyotokea kama vile maji kujaa na kupwa, upepo, na tetemeko la ardhi.

Yaliyomo

Afrika [hariri]

Afrika ya Mashariki [hariri]

Afrika ya Kati [hariri]

Afrika ya Kaskazini [hariri]

Afrika ya Kusini [hariri]

Afrika ya Magharibi [hariri]

Amerika ya Kaskazini [hariri]

Amerika ya Kati [hariri]

Nchi za barani [hariri]

*(Meksiko mara nyingi huhesabiwa katika Amerika ya Kati kwa sababu za kiutamaduni)

Nchi za visiwa vya Karibi [hariri]

Amerika ya Kusini [hariri]

Asia [hariri]

Asia ya Kati [hariri]

Asia ya Kaskazini [hariri]

Asia ya Mashariki [hariri]

Asia ya Kusini-Mashariki [hariri]

Asia ya Kusini [hariri]

Asia ya Magharibi [hariri]

Bara Arabu [hariri]

Ulaya [hariri]

Oceania [hariri]

Mfumo wa jua na sayari zake [hariri]

Tazama pia [hariri]

Sciences de la terre.svg Makala hii kuhusu eneo fulani bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Jiografia kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.


Cite error: <ref> tags exist, but no <references/> tag was found