Jiografia

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Ramani ya dunia.

Jiografia ni somo la Dunia na vipengele vyake, wakazi wake, na maajabu yake.[1]

Neno la Kiswahili jiografia linafuata matamshi ya Kiingereza ya neno la Kigiriki "γεωγραφία", geo-grafia kutoka "dunia" na graphein "kuandika". Lina maana ya "kuandika kuhusu Dunia". Neno hili lilianza kutumiwa kwa mara ya kwanza na mwanasayansi Eratosthenes (276-194 KK).

Sehemu za jiografia ni vitu kama mabara, bahari, mito na milima. Wakazi wake ni watu wote na wanyama waishio juu yake. Maajabu yake ni vitu vinavyotokea kama vile maji kujaa na kupwa, upepo, na tetemeko la ardhi.

Nchi za Afrika[hariri | hariri chanzo]

Afrika ya Mashariki[hariri | hariri chanzo]

Afrika ya Kati[hariri | hariri chanzo]

Afrika ya Kaskazini[hariri | hariri chanzo]

Afrika ya Kusini[hariri | hariri chanzo]

Afrika ya Magharibi[hariri | hariri chanzo]

Nchi za Amerika ya Kaskazini[hariri | hariri chanzo]

Nchi za Amerika ya Kati[hariri | hariri chanzo]

Nchi za barani[hariri | hariri chanzo]

*(Meksiko mara nyingi huhesabiwa katika Amerika ya Kati kwa sababu za kiutamaduni)

Nchi za visiwa vya Karibi[hariri | hariri chanzo]

Nchi za Amerika ya Kusini[hariri | hariri chanzo]

Nchi za Asia[hariri | hariri chanzo]

Asia ya Kati[hariri | hariri chanzo]

Asia ya Kaskazini[hariri | hariri chanzo]

Asia ya Mashariki[hariri | hariri chanzo]

Asia ya Kusini-Mashariki[hariri | hariri chanzo]

Asia ya Kusini[hariri | hariri chanzo]

Asia ya Magharibi[hariri | hariri chanzo]

Bara Arabu[hariri | hariri chanzo]

Nchi za Ulaya[hariri | hariri chanzo]

Nchi za Oceania[hariri | hariri chanzo]

mfumo wa Jua[hariri | hariri chanzo]

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

  1. Geography. The American Heritage Dictionary/ of the English Language, Fourth Edition. Houghton Mifflin Company. Iliwekwa mnamo 9 Oktoba 2006.
  2. Inatajwa kama "Zebaki" katika kamusi kadhaa, kwa kosa la kutafsiri upya jina la Kiingereza "Mercury" linalomaanisha metali na pia sayari, tofauti na Kiswahili
  3. inaitwa kwa kosa "Sumbula" katika vitabu vichache; lakini Sumbula ni jina la nyota ya en:Spica
  4. Katika vitabu vichache inaitwa "Saratani" au "Satani" kwa kosa; Saratani ni jina la kundinyota ya Cancer; inaonekana kuna kosa kutokana matamshi ya kienyeshi ya jina "Saturn"
  5. Vitabu vichache vinatumia kwa kosa jina "Zohali" ambalo ni jina la sayari inayoitwa kwa Kiingereza "Saturn"
  6. Vitabu vichache vinatumia kwa kosa jina "Kausi" ambalo ni jina la kundinyota inayoitwa kwa Kiingereza "Sagittarius"

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

WikiMedia Commons
WikiMedia Commons
Wikimedia Commons ina media kuhusu:
Makala hii kuhusu mambo ya sayansi bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Jiografia kama historia yake au mahusiano yake na mada nyingine?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.