Kosta Rika

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Rukia: urambazaji, tafuta
República de Costa Rica
Jamhuri ya Kosta Rika
Bendera ya Kosta Rika Nembo ya Kosta Rika
Bendera Nembo
Wito la taifa: ¡Vivan siempre el trabajo y la paz!
Wimbo wa taifa: Noble patria, tu hermosa bandera
Lokeshen ya Kosta Rika
Mji mkuu San Jose
9°56′ N 84°5′ W
Mji mkubwa nchini San Jose
Lugha rasmi Kihispania
Serikali Jamhuri, demokrasia
Óscar Arias
Uhuru
Tarehe
15 Septemba 1821
Eneo
 - Jumla
 - Maji (%)
 
51,100 km² (ya 129)
0.7%
Idadi ya watu
 - 2005 kadirio
 - Msongamano wa watu
 
4,327,000 (ya 119)
85/km² (ya 107)
Fedha colón (CRC)
Saa za eneo
 - Kiangazi (DST)
(UTC-6)
(UTC)
Intaneti TLD .cr
Kodi ya simu +506

-


Ramani ya Kosta Rika.

Kosta Rika (Costa Rica) ni nchi ya Amerika ya Kati. Imepakana na Nikaragua na Panama; kuna pwani ya Pasifiki upande wa magharibi na pwani ya Bahari ya Karibi upande wa mashariki.

Kosta Rika ilikuwa nchi ya kwanza duniani ya kufuta jeshi lake kikatiba.

Centroamerica politico.png Makala hii kuhusu maeneo ya Amerika ya Kati bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Kosta Rika kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.
WikiMedia Commons
Wikimedia Commons ina media kuhusu: