Sint Eustatius

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Picha ya Sint Eustatius kutoka angani (ISS).

Sint Eustatius (yaani Mtakatifu Eustasi, au kifupi: Statia au Statius) ni kisiwa cha bahari ya Karibi karibu na Saint Kitts (Amerika ya Kati).

Ni sehemu ya pekee ya Uholanzi.[1]

Eneo lake ni kilometa mraba 21 tu.

Baada ya kuonekana na Kristofa Columbus mwaka 1493, umiliki wa kisiwa ulibadilikabadilika mara 22.

Wakazi wa kudumu ni 3,897. Wengi wao huongea hasa Krioli ya Kiingereza, ingawa Kiholanzi ndicho lugha rasmi.

Makao makuu ni Orangestad.

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  • Jedidiah Morse (1797). "St. Eustatius". The American Gazetteer. Boston, Massachusetts: At the presses of S. Hall, and Thomas & Andrews. 
  • Mordechai Arbell, The Jewish Nation of the Caribbean, The Spanish-Portuguese Jewish Settlements in the Caribbean and the Guianas (2002) Geffen Press, Jerusalem
  • Harry Ezratty, 500 Years in the Jewish Caribbean - The Spanish and Portuguese Jews in the West Indies (1997) Omni Arts, Baltimore
  • David Spinney, Rodney, (1969) Allen & Unwin
  • P Bernardini (Editor), N Fiering (Editor) The Jews and the Expansion of Europe to the West, 1450-1800 (2001), Berghan Press
  • J. Hartog, History of St. Eustatius (1976) Central U.S.A. Bicentennial Committee of the Netherlands Antilles
  • Y. Attema, A Short History of St. Eustatius and its Monuments (1976) Wahlberg Press
  • Andrew Jackson O'Shaunhassey, The Men Who Lost America, (2013), Yale Press

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Wikimedia Commons ina media kuhusu:
Makala hii kuhusu maeneo ya Bahari ya Karibi bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Sint Eustatius kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.