Orodha ya nchi za Afrika

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Afrika duniani.
Afrika kutoka angani.
Kanda za Afrika:      Afrika Kaskazini      Afrika Magharibi      Afrika ya Kati      Afrika Mashariki      Kusini mwa Afrika (Mpangilio wa Kanda za nchi za Umoja wa Mataifa

Orodha ya nchi huru na maeneo barani Afrika inafuata kanda za Afrika jinsi zilivyopangwa na Umoja wa Mataifa. Majina ya nchi hutajwa pamoja na maeneo yanayotawaliwa na nchi nje ya Afrika au ambayo yamekuwa sehemu kamili ya nchi nje ya Afrika.

Mpangilio wa nchi kwa kanda za kaskazini, magharibi, mashariki, kati na kusini hufuata mfumo wa Kanda za nchi za Umoja wa Mataifa.

Afrika ya Mashariki:[hariri | hariri chanzo]

Jina la nchi au eneo,
bendera
Eneo
(km²)
Wakazi
(mnamo Julai 2015)
Wakazi kwa km² Mji Mkuu
Burundi
27,830 9,824,000 401.7 Bujumbura
Komoro
2,170 783,000 363.1 Moroni
Jibuti
23,000 961,000 38.6 Jibuti
Eritrea
121,320 6,895,000 43.1 Asmara
Ethiopia
1,127,127 90,076,000 88.2 Addis Ababa
Kenya
582,650 44,234,000 79.0 Nairobi
Madagaska
587,040 23,043,000 41.3 Antananarivo
Malawi
118,480 16,307,000 145.3 Lilongwe
Mauritius
2,040 1,263,000 624.0 Port Louis
Mayotte (Ufaransa)
374 229,000 641.7 Mamoudzou
Msumbiji
801,590 25,728,000 34.9 Maputo
Réunion (Ufaransa)
2,512 853,000 342.8 Saint-Denis
Rwanda
26,338 11,324,000 440.8 Kigali
Shelisheli
455 97,000 211.0 Victoria
Somalia
637,657 10,972,000 16.9 Mogadishu
Sudan Kusini
619,745 12,340,000 19.2 Juba
Tanzania
945,087 48,829,000 56.6 Dodoma
Uganda
236,040 35,760,000 165.4 Kampala
Zambia
752,614 15,474,000 21.5 Lusaka
Zimbabwe
390,580 13,503,000 39.9 Harare

Afrika ya Kati[hariri | hariri chanzo]

Jina la nchi au eneo,
bendera
Eneo
(km²)
Wakazi
(mnamo Julai 2015)
Wakazi kwa km² Mji Mkuu
Angola
1,246,700 25,326,000 20.1 Luanda
Kamerun
475,440 21,918,000 49.1 Yaoundé
Jamhuri ya Afrika ya Kati
622,984 4,900,000 7.9 Bangui
Chadi
1,284,000 13,675,000 10.9 N'Djamena
Kongo, Jamhuri ya
342,000 4,706,000 13.5 Brazzaville
Kongo, Jamhuri ya Kidemokrasia
2,345,410 77,267,000 32.9 Kinshasa
Guinea ya Ikweta
28,051 1,996,000 30.1 Malabo
Gabon
267,667 1,873,000 6.4 Libreville
São Tomé na Príncipe
1,001 194,000 189.8 São Tomé

Afrika ya Kaskazini[hariri | hariri chanzo]

Jina la nchi au eneo,
bendera
Eneo
(km²)
Wakazi
(mnamo Julai 2015)
Wakazi kwa km² Mji Mkuu
Algeria
2,381,740 39,903,000 16.7 Algiers
Misri (2)
1,001,450 88,523,000 91.4 Cairo
Libya
1,759,540 6,278,000 3.6 Tripoli
Moroko
446,550 33,680,000 77.0 Rabat
Sudan
1,861,484 30,894,000 21.6 Khartoum
Tunisia
163,610 11,118,000 68.8 Tunis
Maeneo ya Hispania na Ureno katika Afrika ya Kaskazini:
Visiwa vya Kanari(Hispania) (3) 7,492 1,694,477 226.2 Las Palmas de Gran Canaria,
Santa Cruz de Tenerife
Ceuta (Hispania) (4)
20 71,505 3,575.2
Visiwa vya Madeira (Ureno)(5)
797 245,000 307.4 Funchal
Melilla (Hispania) (6)
12 66,411 5,534.2

Kusini mwa Afrika[hariri | hariri chanzo]

Jina la nchi au eneo,
bendera
Eneo
(km²)
Wakazi
(mnamo Julai 2015)
Wakazi kwa km² Mji Mkuu
Botswana
600,370 2,176,000 3.8 Gaborone
Eswatini
17,363 1,119,000 74.1 Mbabane
Lesotho
30,355 1,908,000 70.3 Maseru
Namibia
825,418 2,281,000 3.0 Windhoek
Afrika Kusini (7)
1,219,912 54,957,000 44.7 Bloemfontein, Cape Town, Pretoria

Afrika ya Magharibi[hariri | hariri chanzo]

Jina la nchi au eneo,
bendera
Eneo
(km²)
Wakazi
(mnamo Julai 2015)
Wakazi kwa km² Mji Mkuu
Benin
112,620 10,782,000 96.6 Porto-Novo
Burkina Faso
274,200 18,450,000 66.0 Ouagadougou
Cabo Verde
4,033 525,000 129.2 Praia
Côte d'Ivoire (8)
322,460 23,326,000 70.4 Abidjan, Yamoussoukro
Gambia
11,300 2,022,000 176.2 Banjul
Ghana
239,460 27,714,000 114.5 Accra
Guinea
245,857 10,935,000 51.3 Conakry
Guinea-Bissau
36,120 1,788,000 51.1 Bissau
Liberia
111,370 4,046,000 40.4 Monrovia
Mali
1,240,000 17,796,000 14.2 Bamako
Mauritania
1,030,700 3,632,000 3.9 Nouakchott
Niger
1,267,000 18,880,000 15.7 Niamey
Nigeria
923,768 184,000,000 197.2 Abuja
Saint Helena (Uingereza)
410 4,000 19.6 Jamestown
Senegal
196,190 14,150,000 77.1 Dakar
Sierra Leone
71,740 6,513,000 89.9 Freetown
Togo
56,785 7,065,000 128.6 Lomé
Sahara ya Magharibi (Moroko) (9)
266,000 509,000 2.2 El Aaiún
Jumla 30,368,609 1,153,308,000
Ramani ya Afrika.
Mipaka ya nchi za Afrika.

Maelezo[hariri | hariri chanzo]

  1. Kanda zinazotajwa (Afrika ya Kusini – Magharibi n.k.) zinafuata utaratibu wa Umoja wa Mataifa UN categorisations/map.
  2. Misri imo Afrika lakini sehemu ya eneo lake iko Asia ya Magharibi. Wengine huiita nchi ya kimabara.
  3. Visiwa vya Kanari ni sehemu ya Hispania ikiwa Las Palmas de Gran Canaria pamoja na Santa Cruz de Tenerife ndiyo miji mikuu pamoja mara nyingi huhesabiwa kuwa sehemu ya Afrika ya Kaskazini; viko karibu na Moroko and Sahara ya Magharibi; wakazi na eneo vya 2001.
  4. Mji wa Ceuta ni eneo la Hispania ufukoni wa Bahari ya Mediteraneo ikizungukwa na nchi ya Moroko; wakazi na eneo ni ya 2001.
  5. Visiwa vya Madeira ni sehemu ya Ureno, mara nyingi huhesabiwa kuwa sehemu ya Afrika ya Kaskazini viko karibu na Moroko; wakazi na eneo vya 2001.
  6. Mji wa Melilla ni eneo la Hispania ufukoni wa Bahari ya Mediteraneo ikizungukwa na nchi ya Moroko; wakazi na eneo ni ya 2001.
  7. Bloemfontein ndiyo makao ya Mahakama Kuu ya Afrika Kusini, Cape Town ni makao ya Bunge, Pretoria ni makao makuu ya serikali.
  8. Yamoussoukro ndiyo rasmi Mji Mkuu wa Côte d'Ivoire lakini Abidjan ni makao ya serikali hali halisi.
  9. Sahara ya Magharibi imetekwa na kutawaliwa kwa sehemu kubwa na Moroko hali isiyokubalika na jumuiya ya kimataifa