1986
Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
| Miaka: | 1983 1984 1985 - 1986 - 1987 1988 1989 |
[hariri] Matukio
[hariri] Waliozaliwa
- 7 Agosti - Nancy Sumari, Mrembo wa Tanzania, mwaka wa 2005
bila tarehe
- Fredinah Peyton, mwanamuziki kutoka Tanzania
[hariri] Waliofariki
- 10 Januari - Jaroslav Seifert (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi, mwaka wa 1984)
- 9 Mei - Tenzing Norgay, mpelelezi kutoka Nepal
- 31 Mei - James Rainwater (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia mwaka wa 1975)
- 14 Juni - Jorge Luis Borges, mwandishi kutoka Argentina
- 24 Julai - Fritz Lipmann (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba mwaka wa 1953)
- 25 Septemba - Nikolay Semyonov (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Kemia, mwaka wa 1956)
- 22 Oktoba - Albert Szent-Györgyi (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba, mwaka wa 1937)
- 23 Oktoba - Edward Doisy (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba, mwaka wa 1943)
- 31 Oktoba - Robert Mulliken, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Kemia mwaka wa 1966

