Rudyard Kipling
Kutoka Wikipedia
Rudyard Kipling (30 Desemba, 1865 – 18 Januari, 1936) alikuwa mwandishi kutoka nchi ya Uingereza. Hasa aliandika riwaya fupi kwa ajili ya kutetea ukoloni. Mwaka wa 1907 alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi.
Rudyard Kipling (30 Desemba, 1865 – 18 Januari, 1936) alikuwa mwandishi kutoka nchi ya Uingereza. Hasa aliandika riwaya fupi kwa ajili ya kutetea ukoloni. Mwaka wa 1907 alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi.