2 Mei
Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
| Apr - Mei - Jun | ||||||
| 1 | 2 | 3 | 4 | 5 | 6 | 7 |
| 8 | 9 | 10 | 11 | 12 | 13 | 14 |
| 15 | 16 | 17 | 18 | 19 | 20 | 21 |
| 22 | 23 | 24 | 25 | 26 | 27 | 28 |
| 29 | 30 | 31 | ||||
| Kalenda ya Gregori | ||||||
[hariri] Matukio
- 1687 - Reigen, Mfalme Mkuu wa Japani, anajiuzulu kwa ajili ya mwana wake Higashiyama
[hariri] Waliozaliwa
- 1803 - Albert Küchler, mchoraji kutoka Denmark
[hariri] Waliofariki
- 1519 - Leonardo da Vinci, mchoraji na mwanasayansi kutoka Italia
- 1979 - Giulio Natta (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Kemia, mwaka wa 1963)
- 1997 - John Eccles, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba mwaka wa 1963