1519
Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Lango la Historia | Lango la Biografia | Karibuni | Orodha ya Miaka
◄ | Karne ya 15 | Karne ya 16 | Karne ya 17 | ►
◄ | Miaka ya 1480 | Miaka ya 1490 | Miaka ya 1500 | Miaka ya 1510 | Miaka ya 1520 | Miaka ya 1530 | Miaka ya 1540 | ►
◄◄ | ◄ | 1515 | 1516 | 1517 | 1518 | 1519 | 1520 | 1521 | 1522 | 1523 | ► | ►►
Makala hii inahusu mwaka 1519 BK (Baada ya Kristo).
Matukio [hariri]
- 4 Machi - Hernan Cortes anafika Mexiko.
- 28 Juni - Mfalme Carlos I wa Hispania amekuwa Kaisari wa Dola Takatifu la Roma akitawala kama Karolo V hadi 1556.
- 4 Julai - Martin Luther anapinga mamlaka ya Papa katika majadiliano yake na Yohane Eck mjini Leipzig (Ujerumani)
- 8 Novemba - Hernan Cortez anafika Tenochtitlan (Mexiko) akipokelewa kama mungu. Atachoma mji na kuijenga upya kama Mji wa Mexiko.
Waliozaliwa [hariri]
| Kalenda ya Gregori | 1519 MDXIX |
| Kalenda ya Kiyahudi | 5279 – 5280 |
| Kalenda ya Ethiopia | 1511 – 1512 |
| Kalenda ya Kiarmenia | 968 ԹՎ ՋԿԸ |
| Kalenda ya Kiislamu | 925 – 926 |
| Kalenda ya Kiajemi | 897 – 898 |
| Kalenda ya Kihindu | |
| - Vikram Samvat | 1574 – 1575 |
| - Shaka Samvat | 1441 – 1442 |
| - Kali Yuga | 4620 – 4621 |
| Kalenda ya Kichina | 4215 – 4216 戊寅 – 己卯 |
Waliofariki [hariri]
- 12 Januari - Kaisari Maximilian I wa Ujerumani
- 2 Mei - Leonardo da Vinci, mchoraji na mwanasayansi kutoka Italia
Wikimedia Commons ina media kuhusu: