6 Oktoba
Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
| Sep - Oktoba - Nov | ||||||
| 1 | 2 | 3 | 4 | 5 | 6 | 7 |
| 8 | 9 | 10 | 11 | 12 | 13 | 14 |
| 15 | 16 | 17 | 18 | 19 | 20 | 21 |
| 22 | 23 | 24 | 25 | 26 | 27 | 28 |
| 29 | 30 | 31 | ||||
| Kalenda ya Gregori | ||||||
Matukio [hariri]
- 1689 - Uchaguzi wa Papa Alexander VIII
- 1889 - Kilele cha Kilimanjaro kimefikiwa mara ya kwanza.
Waliozaliwa [hariri]
- 1862 - Albert Beveridge, mwanasiasa na mwandishi kutoka Marekani
- 1887 - Le Corbusier, msanifu majengo kutoka Ufaransa
- 1903 - Ernest Walton (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia, mwaka wa 1951)
- 1949 - Bobby Farrell, mwimbaji wa Kijerumani kutoka Aruba
Waliofariki [hariri]
- 1912 - Auguste Beernaert (mwanasiasa Mbelgiji na mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Amani, mwaka wa 1909)
- 1951 - Otto Meyerhof (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba mwaka wa 1922)