Papa Konon
Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Papa Konon alikuwa papa kuanzia 21 Oktoba, 686 hadi kifo chake tarehe 21 Septemba, 687. Alimfuata Papa Yohane V.
[hariri] Viungo vya nje
Kuhusu Papa Konon katika Kamusi Elezo ya Kikatoliki
| Makala hii kuhusu Papa fulani bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Papa Konon kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |