Sardinia

Kutoka Wikipedia

Sardinia kutoka angani
Sardinia kutoka angani
Wilaya za Sardinia
Wilaya za Sardinia

Sardinia (Kiitalia: Sardegna) ni kisiwa kikubwa cha pili katika bahari ya Mediteranea chenye eneo la 24,000 km². Pamoja na visiwa vidogo vya karibu ni jimbo la kujitawala la Italia. Mji mkuu ni Cagliari. Kuna wakazi milioni 1.65.

Vifaa binafsi