26 Novemba
Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
| Okt - Novemba - Des | ||||||
| 1 | 2 | 3 | 4 | 5 | 6 | 7 |
| 8 | 9 | 10 | 11 | 12 | 13 | 14 |
| 15 | 16 | 17 | 18 | 19 | 20 | 21 |
| 22 | 23 | 24 | 25 | 26 | 27 | 28 |
| 29 | 30 | |||||
| Kalenda ya Gregori | ||||||
[hariri] Matukio
[hariri] Waliozaliwa
- 1858 - Katharine Drexel, mtawa wa kike kutoka Marekani
- 1898 - Karl Ziegler (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Kemia, mwaka wa 1963)
[hariri] Waliofariki
- 399 - Papa Siricius
- 1881 - Johann Ludwig Krapf (mmisionari wa CMS, Afrika ya Mashariki)
- 1952 - Sven Hedin, mpelelezi wa Asia ya Kati kutoka Sweden
- 1966 - Gallus Steiger, askofu wa Peramiho, Tanzania, kutoka Uswisi