5 Novemba
Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
| Okt - Novemba - Des | ||||||
| 1 | 2 | 3 | 4 | 5 | 6 | 7 |
| 8 | 9 | 10 | 11 | 12 | 13 | 14 |
| 15 | 16 | 17 | 18 | 19 | 20 | 21 |
| 22 | 23 | 24 | 25 | 26 | 27 | 28 |
| 29 | 30 | |||||
| Kalenda ya Gregori | ||||||
Matukio [hariri]
Waliozaliwa [hariri]
- 1837 - Mtakatifu Arnold Janssen (padre Mkatoliki kutoka Ujerumani)
- 1854 - Paul Sabatier (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Kemia mwaka wa 1912)
- 1943 - Sam Shepard (mwandishi Mmarekani, na mshindi wa Tuzo ya Pulitzer, mwaka wa 1979)
- 1948 - William Phillips, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia mwaka wa 1997
Waliofariki [hariri]
- 1930 - Christiaan Eijkman (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba, mwaka wa 1929)
- 1944 - Alexis Carrel (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba mwaka wa 1912)
- 1975 - Edward Tatum (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba mwaka wa 1958)
- 2000 - Bibi Titi Mohammed, mwanasiasa wa Tanzania