Arnold Janssen

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Mtakatifu Arnold Janssen

Mtakatifu Arnold Janssen (Goch 5 Novemba 1837Steyl 15 Januari 1909) alikuwa padri wa Kanisa Katoliki kutoka nchi ya Ujerumani aliyeanzisha mashirika ya wamisionari wa kiume na wa kike.

Mwaka 2003 alitangazwa na Papa Yohane Paulo II kuwa mtakatifu.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 15 Januari[1].

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

WikiMedia Commons
WikiMedia Commons
Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.