Mitume wa Yesu

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Karamu ya Thenashara ilivyochorwa huko Urusi katika karne ya 14, Moscow Museum.
Mitume wa Yesu
Mfululizo wa kurasa juu ya Yesu
Jesus
Yesu Kristo na Ukristo

Umwilisho  • Utoto wa Yesu  • Ubatizo
Arusi ya Kana • Utume wa Yesu • Mifano ya Yesu  • Miujiza ya Yesu
Kugeuka sura • Karamu ya mwisho • Msalaba wa Yesu  • Maneno saba
Kifo cha Yesu  • Ufufuko wa Yesu
Kupaa mbinguni  • Ujio wa pili
Injili  • Majina ya Yesu katika Agano Jipya  • Yesu kadiri ya historia  • Tarehe za maisha ya Yesu • Kristolojia

Mazingira ya Yesu

Wayahudi • Kiaramu • Bikira Maria • Yosefu (mume wa Maria) • Familia takatifu • Ukoo wa Yesu • Ndugu wa Yesu • Yohane Mbatizaji

Mitazamo juu ya Yesu

Mitazamo katika Agano Jipya · Mitazamo ya Kikristo • Mitazamo ya Kiyahudi • Mitazamo ya Kiislamu • Yesu katika sanaa

Mtume wa Yesu Kristo (kwa Kigiriki ἀπόστολος, apóstolos, aliyetumwa), kadiri ya Agano Jipya, ni mmojawapo kati ya wale wanaume 12 ambao Yesu aliwateua mapema akawatuma kuhubiri Ufalme wa Mungu kwanza kwa taifa la Israeli, halafu kwa mataifa yote duniani.


Baada ya kifo na ufufuko wake, hao wakawa viongozi wa Kanisa ambalo hadi leo linajitambua kujengwa juu yao.

Habari zao, lakini hasa za Petro, zilianza kuandikwa na Mwinjili Luka katika kitabu cha Matendo ya Mitume, ambamo baadaye mhusika mkuu ni Mtume Paulo aliyedai kuteuliwa na Yesu Kristo baada ya kufufuka.

Majina ya Mitume[hariri | hariri chanzo]

Marejeo ya Kiswahili[hariri | hariri chanzo]

  • Thenashara, Mitume Kumi na Wawili – tafsiri ya P. A. Bunju – Toleo la pili – ed. Benedictine Publications Ndanda Peramiho – Ndanda 1984 – ISBN 9976-63-030-1

Marejeo mengine[hariri | hariri chanzo]

  • Navarre RSV Holy Bible. Four Courts Press, Dublin, Ireland, 1999.
  • Albright, W.F. and C.S. Mann. "Matthew." The Anchor Bible Series. New York: Doubleday & Company, 1971.
  • Papa Benedikto XVI, "The Apostles", or "The Origins of the Church – The Apostles and Their Co-Workers", published 2007, in the US: ISBN 978-1-59276-405-1; different edition published in the UK under the title: "Christ and His Church – Seeing the face of Jesus in the Church of the Apostles", ISBN 978-1-86082-441-8.
  • Carson, D.A. "The Limits of Functional Equivalence in Bible Translation - and other Limits Too." The Challenge of Bible Translation: Communicating God's Word to the World. edited by Glen G Scorgie, Mark L. Strauss, Steven M. Voth.
  • Carter, Warren. "Matthew 4:18-22 and Matthean Discipleship: An Audience-Oriented Perspective." Catholic Bible Quarterly. Vol. 59. No. 1. 1997.
  • Clarke, Howard W. The Gospel of Matthew and its Readers: A Historical Introduction to the First Gospel. Bloomington: Indiana University Press, 2003.
  • "Fishers of Men." A Dictionary of Biblical Tradition in English Literature. David Lyle Jeffrey, general editor. Grand Rapids: W.B. Eerdmans, 1992.
  • France, R.T. The Gospel According to Matthew: an Introduction and Commentary. Leicester: Inter-Varsity, 1985.
  • Manek, Jindrich. "Fishers of Men." Novum Testamentum. 1958 pg. 138
  • Schweizer, Eduard. The Good News According to Matthew. Atlanta: John Knox Press, 1975
  • Wuellner, Wilhelm H. The Meaning of "Fishers of Men". Westminster Press, 1967.
  • The Lost Gospel - The Book of Q. by Burton L Mack

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Wikimedia Commons ina media kuhusu: