Whitney Houston

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Whitney Houston
Jina la kuzaliwa Whitney Elizabeth Houston
Amezaliwa 9 Agosti 1963 (1963-08-09) (umri 46)
Newark, New Jersey, U.S.
Asili yake East Orange, New Jersey
Kazi yake Mwimbaji, mtunzi wa nyimbo, mwigizaji, mtayarishaji wa rekodi, mtayarishaji wa filamu, mwanamitindo
Ala Sauti, piano
Aina ya sauti Mezzo-soprano[1]
Miaka ya kazi 1977–hadi leo
Studio Arista
Tovuti www.whitneyhouston.com

Whitney Elizabeth Houston (amezaliwa tar. 9 Agosti, 1963) nimshindi wa Tuzo ya Grammy akiwa kama mwimbaji bora wa pop/R&B, mwigizaji, mtayarishaji wa filamu, mtunzi wa nyimbo na mwanamitindo wa zamani kutoka nchini Marekani. Anafahamika zaidi kwa kuwa sauti kali yenye nguvu na mvuto. Anafahamika zaidi kwa kupitia nyimbo yake ya "I Will Always Love You" na "I wanna dance with some body" kutoka katika toleo lake la 'The Star Spangled Banner.'.

Whitney ni mmoja kati ya wasanii wa kike waliopata mafanikio makubwa kabisa katika medani ya muziki. Moja kati ya albamu zake ambazo zilipata kuwa maarufu zaidi ni The Bodyguard (Kibwagizo bora kwa mauzo bora kwa miaka yote) na ndiyo albamu yake iliyofanya vizuri kupita zote.

Yaliyomo

[hariri] Wasifu

[hariri] Maisha ya awali

[hariri] Diskografia

Studio albamu

[hariri] Marejeo

  1. Dean, Maury (2003). Rock-N-Roll Gold Rush. Algora Publishing, 34. ISBN 0875862071. 

[hariri] Viungo vya Nje


Musical notes.svg Makala hii kuhusu mwanamuziki/wanamuziki fulani wa Marekani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Whitney Houston kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.