Faustini na Jovita

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Bikira Maria na Mtoto Yesu pamoja na Wat. Jovita na Faustino, kazi ya Vincenzo Foppa.

Faustini na Jovita (walifariki Brescia, Lombardia, Italia Kaskazini, 120 au 124) walikuwa Wakristo ambao walifia dini yao chini ya kaisari Hadrian.

Inasemekana Faustini alikuwa shemasi na mwenzake mhubiri waliopigania sana imani.

Tangu kale wanaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama watakatifu wafiadini.

Sikukuu yao huadhimishwa tarehe 15 Februari[1].

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.