Brescia
Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
| Brescia | |
| Brescia | |
| Anwani ya kijiografia: 45°32′00″N 10°14′00″E / 45.533333°N 10.233333°E | |
| Nchi | Italia |
|---|---|
| Mkoa | Lombardia |
| Wilaya | Brescia |
| Idadi ya wakazi | |
| - Mji | 191,352 |
| Tovuti: www.comune.brescia.it | |
Brescia ni mji wa Italia katika mkoa la Lombardia. Kwa mujibu wa sensa iliyofanyika mnamo mwaka wa 2009, mji una wakazi wapatao 190,000 wanaoishi katika mji huu. Mji upo m 150 kutoka juu ya usawa wa bahari.
Tazama pia [hariri]
Marejeo [hariri]
Viungo vya nje [hariri]
- (Kiitalia) Tovuti rasmi
| Makala hii kuhusu maeneo ya Italia bado ni mbegu. Je unajua kitu kuhusu Brescia kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni? Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |