Theodore Roosevelt
Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Theodore Roosevelt (27 Oktoba, 1858 – 6 Januari, 1919) alikuwa mwanasiasa kutoka nchi ya Marekani. Miaka ya 1901 hadi 1909 alikuwa Rais wa Marekani. Mwaka wa 1906 alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Amani.

