Martin Van Buren
Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Martin Van Buren (5 Desemba, 1782 – 24 Julai, 1862) alikuwa Rais wa nane wa Marekani kuanzia mwaka wa 1837 hadi 1841. Kaimu Rais wake alikuwa Richard M. Johnson.
Martin Van Buren (5 Desemba, 1782 – 24 Julai, 1862) alikuwa Rais wa nane wa Marekani kuanzia mwaka wa 1837 hadi 1841. Kaimu Rais wake alikuwa Richard M. Johnson.