John Quincy Adams
Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
John Quincy Adams (11 Julai, 1767 – 23 Februari, 1848) alikuwa Rais wa sita wa Marekani kuanzia mwaka wa 1825 hadi 1829. Alikuwa mwana wa John Adams, Rais wa pili. Kaimu Rais wake alikuwa John C. Calhoun.

