John Quincy Adams

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

John Quincy Adams
John Quincy Adams

John Quincy Adams (11 Julai, 176723 Februari, 1848) alikuwa Rais wa sita wa Marekani kuanzia mwaka wa 1825 hadi 1829. Alikuwa mwana wa John Adams, Rais wa pili. Kaimu Rais wake alikuwa John C. Calhoun.

[hariri] Tazamia pia

Image:WikiLettreMini.svg Makala hiyo kuhusu "John Quincy Adams" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu John Quincy Adams kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.

Vifaa binafsi