1848
Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
[hariri] Matukio
- Mapinduzi ya Kidemokrasia katika nchi nyingi za Ulaya kama Italia, Ufaransa, Ujerumani, Austria, Hungaria na pia Brazil.
[hariri] Waliozaliwa
- 16 Februari - Octave Mirbeau, mwandishi Mfaransa
[hariri] Waliofariki
- 23 Februari - John Quincy Adams, Rais wa Marekani (1825-1829)
- 9 Novemba - Robert Blum anauawa katika mji wa Vienna.

