1856
Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
| Miaka: | 1853 1854 1855 - 1856 - 1857 1858 1859 |
[hariri] Matukio
- 9 Juni - Wamormoni 500 wanatoka mji wa Iowa City katika jimbo la Iowa na kuelekea magharibi kwenda mji wa Salt Lake City katika jimbo la Utah wakibeba mali zao zote kwenye mikokoteni.
[hariri] Waliozaliwa
- 15 Juni – Edward Channing (mwanahistoria wa Marekani na mshindi wa Tuzo ya Pulitzer, mwaka wa 1926)
- 26 Julai - George Bernard Shaw (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi, mwaka wa 1925)
- 27 Septemba - Karl Peters (alianzisha koloni ya Afrika ya Mashariki ya Kijerumani)
- 18 Desemba - Joseph John Thomson, mwanafizikia kutoka Uingereza na mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia mwaka wa 1906
- 22 Desemba - Frank Kellogg (mwanasiasa Mmarekani na mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Amani, mwaka wa 1929)
- 28 Desemba - Woodrow Wilson (Rais wa Marekani, na mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Amani mwaka wa 1919)
[hariri] Waliofariki
- 3 Mei - Adolphe Adam (mtungaji wa muziki Mfaransa)
- 29 Julai - Robert Schumann, mtunzi wa muziki kutoka Ujerumani

