Giacomo Puccini

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Giacomo Puccini.

Giacomo Antonio Domenico Michele Secondo Maria Puccini (alizaliwa mjini Lucca, 23 Desemba 1858 - mjini Brussels, 29 Novemba 1924) alikuwa mtunzi maarufu wa opera kutoka nchini Italia. Yaaminika kwamba Puccini ni wa pili kwa umaarufu katika opera baada ya mtunzi mashuhuri wa awali Bw. Giuseppe Verdi. Alitunga opera 14, ambazo nyingi kati ya hizo zinatumika leo hii katika majumba ya opera.

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Makala hii kuhusu mwanamuziki fulani wa Ulaya bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Giacomo Puccini kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.
Orodha ya Wanamuziki wa kipindi cha Romatiki
Alkan Balakirev Beethoven Bellini Berlioz Berwald Bizet Borodin Brahms Bruckner Chopin Cui Dvořák Elgar Field Franck Glinka Grieg Liszt Mahler Mendelssohn Mussorgsky Rachmaninoff Rimsky-Korsakov Saint-Saëns Schubert Schumann Smetana Strauss Tchaikovsky Verdi Wagner Wolf Weber