31 Oktoba
Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
| Sep - Oktoba - Nov | ||||||
| 1 | 2 | 3 | 4 | 5 | 6 | 7 |
| 8 | 9 | 10 | 11 | 12 | 13 | 14 |
| 15 | 16 | 17 | 18 | 19 | 20 | 21 |
| 22 | 23 | 24 | 25 | 26 | 27 | 28 |
| 29 | 30 | 31 | ||||
| Kalenda ya Gregori | ||||||
Matukio [hariri]
- 1517 - Martin Luther alitolea "Hoja 95 dhidi ya madekezo" na kuanzisha Mageuzo ya Kanisa.
- 1919 - Nchi ya Iraq inapata uhuru kutoka Uturuki.
Waliozaliwa [hariri]
- 1705 - Papa Klementi XIV
- 1835 - Adolf von Baeyer (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Kemia mwaka wa 1905)
- 1920 - Dedan Kimathi (kiongozi Mkenya wa Mau Mau)
- 1925 - John Pople, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Kemia mwaka wa 1998
- 1929 - Bud Spencer, mwigizaji filamu kutoka Italia
Waliofariki [hariri]
- 1986 - Robert Mulliken, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Kemia mwaka wa 1966
- 1993 - Federico Fellini, mwongozaji wa filamu kutoka Italia
- 2006 - Pieter Willem Botha, Waziri Mkuu na Rais wa Afrika Kusini