Jan Mayen

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Mahali pa Jan Mayen kati ya Greenland na Norwei
Jan Mayen

Jan Mayen ni kisiwa cha Norwei katika eneo inapokutana Bahari ya Aktika na Atlantiki ya Kaskazini chenye eno la 373 km². Ureu ni km 52. Kisiwa kipo katikati ya Norwei, Isilandi na Greenland.

Hakuna wakazi wa kudumu isipokuwa wafanyakazi 14 wa vituo viwili vya serikali ya Norwei. Moja ni kituo cha redio kinachohudumia usafiri kwa ndege katika sehemu hii ya dunia. Nyingine ni kituo cha wataalamu wanaopima hali ya hewa.

Jan Mayen iliztangazwa kuwa sehemu ya Norwei 27 Februari 1930. Kiutawala iko chini ya gavana wa Spitzbergen.

[hariri] Viungo vya Nje

Europe.svg Makala hii kuhusu maeneo ya Ulaya bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Jan Mayen kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.


Nchi na maeneo ya Ulaya
Albania | Andorra | Austria | Belarus | Bosnia na Herzegovina | Bulgaria | Kroatia | Denmark | Eire | Estonia | Ufaransa | Hungaria | Iceland | Italia | Jamhuri ya Masedonia | Latvia | Liechtenstein | Lithuania | Luxemburg | Malta | Moldova | Monako |Montenegro | Norway | Poland | Romania | San Marino | Serbia3 | Slovakia | Slovenia | Hispania | Ubelgiji | Uceki | Ufalme wa Muungano (Uingereza) | Ufini | Ugiriki | Ujerumani | Uholanzi | Ureno | Urusi1 | Uswidi | Uswisi | Ukraine | Vatikani

Maeneo ya Ulaya ya kujitawala chini ya nchi nyingine: Visiwa vya Faroe | Gibraltar | Guernsey | Jan Mayen | Jersey | Isle of Man | Svalbard

Nchi za Asia ambazo ni mwanachama wa baraza la Ulaya au vyombo vingine vya Ulaya: Armenia2 | Azerbaijan1 | Kupro2 | Georgia1 | Kazakhstan1 | Uturuki1

Nchi zisizokubaliwa na umma wa kimataifa: Abkhazia | Nagorno-Karabakh2 | Ossetia ya Kusini | Transnistria | Jamhuri ya Kituruki ya Kupro ya Kaskazini2

Maelezo: (1) nchi ya kimabara katika Asia na Ulaya; (2) nchi katika eneo la Asia ya Magharibi lakini kiutamaduni huhesabiwa kuwa sehemu ya Ulaya; (3) Inaelekea kugawiwa kuwa nchi mbili za Serbia na Montenegro