New York (jimbo)

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru








New York

Bendera

Nembo
Nchi Bendera ya Marekani Marekani
Mji mkuu Albany
Eneo
 - Jumla 141,299 km²
 - Kavu 122,238 km² 
 - Maji 19,016 km² 
Tovuti:  http://www.ny.gov/
Ramani ya jimbo la New York

New York ni jimbo la kujitawala la Maungano ya Madola ya Amerika au Marekani. Iko kwenye pwani la kaskazini-mashariki ya nchi ikipakana na majimbo ya Pennsylvania, Vermont, Massachusetts, Connecticut na New Jersey halafu nchi jirani ya Kanada.

Mji mkuu ni Albany lakini mji mkubwa ni New York.

Jimbo lina wakazi 19,254,630 kwenye eneo la 141,205 km².

Mto mkubwa ni Mto Hudson.

Ilikuwa moja ya koloni 13 asilia za Uingereza zilizoasi dhidi ya nchi mama tangu mwaka 1776 na kuanzisha Maungano ya Madola ya Amerika.

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

New York census data kutoka Factfinder.census.gov Archived 2020-02-12 at Archive.today

Wikimedia Commons ina media kuhusu:


Majimbo ya Marekani

AlabamaAlaskaArizonaArkansasCaliforniaColoradoConnecticutDelawareFloridaGeorgiaHawaiiIdahoIllinoisIndianaIowaKansasKentuckyLouisianaMaineMarylandMassachusettsMichiganMinnesotaMississippiMissouriMontanaNebraskaNevadaNew HampshireNew JerseyNew MexicoNew YorkNorth CarolinaNorth DakotaOhioOklahomaOregonPennsylvaniaRhode IslandSouth CarolinaSouth DakotaTennesseeTexasUtahVermontVirginiaWashingtonWest VirginiaWisconsinWyoming

Makala hii kuhusu maeneo ya New York bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu New York (jimbo) kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.