Guam

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Guam
Bendera
Nembo
Mji mkuu (na mkubwa zaidi){{{mji_mkuu}}}
°′  °′ 
Lugha rasmi{{{lugha_rasmi}}}
Serikali{{{serikali}}}
{{{vyeo_viongozi}}}{{{majina_viongozi}}}
{{{muundo_uhuru}}}{{{tarehe_uhuru}}}
Eneo
 • Eneo la jumla{{{eneo_jumla}}}
 • Maji (%){{{maji}}}
Idadi ya watu
 • Kadirio la 2023{{{watu_kadirio}}}
Pato la TaifaKadirio la 2023
 • Jumla{{{pato}}}
 • Kwa kila mtu{{{pato_kwa_mtu}}}
Pato Halisi la TaifaKadirio la 2023
 • Jumla{{{pato_halisi}}}
 • Kwa kila mtu{{{pato_halisi_kwa_mtu}}}
Maendeleo ({{{mwaka_maendeleo}}}){{{maendeleo}}}
Fedha{{{fedha}}}
Majira ya saa{{{majira_saa}}}
Muundo wa tareheDD/MM/YYYY
Ramani ya Guam.

Guam (kwa Kichamoru: Guåhan) ni eneo la ng'ambo la Marekani (U.S. Territory of Guam) upande wa kusini wa funguvisiwa ya Mariana katika Bahari ya Pasifiki. Huhesabiwa kati ya visiwa vya Mikronesia.

Eneo la kisiwa hicho ni kilometa mraba 543.

Mji mkuu ni Hagåtña (Agana).

Uchumi wa Guam unategemea kituo cha kijeshi cha Marekani pamoja na utalii.

Historia[hariri | hariri chanzo]

Wakazi wa kwanza wanaojulikana ni Wachamoru walihamia miaka 4,000 hivi iliyopita.

Tangu mwaka 1668 visiwa vya Mariana vilikuwa koloni la Hispania.

Baada ya vita ya Marekani dhidi Hispania Guam ikatwaliwa na Marekani. Visiwa vya upande wa Kaskazini vikauzwa kwa Ujerumani na kuwa Mariana ya Kaskazini.

Wakati wa Vita Kuu ya Pili ya Dunia kisiwa kikatwaliwa na Japani, lakini tarehe 21 Julai 1944 Waamerika walirudi na kuwafukuza Wajapani.

Mwaka 1949 kisiwa kilipewa hadhi ya Eneo la ng'ambo la Marekani, wakazi wake wakapewa uraia wa shirikisho hilo.

Watu[hariri | hariri chanzo]

Kwa sasa 37.1% ya wakazi wote (159,358) ni Wachamoru, wakifuatwa na Wafilipino (26.3%). Wachamoru wengi zaidi wanaishi Marekani bara.

Upande wa dini, 85% ni Wakristo wa Kanisa Katoliki.

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]


Makala hii kuhusu maeneo ya Marekani bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Guam kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.