Wallis na Futuna
Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Wallis na Futuna ni eneo la ng'ambo la Ufaransa katika Bahari ya Pasifiki kati ya Fiji na Samoa.
Eneo lake ni visiwa vitatu jumla kilomita za mraba 274 km². Idadi ya wakazi ni mnamo 16,000. Kwa upande mmoja kuna kisiwa cha Wallis na kwa upande mwingine visiwa vya Futuna. Umbali kati yao ni takriban kilomita 200.
Wakazi walio wengi ni Wapolynesia wakiongea lugha za Kipolynesia pamoja na Kifaransa.
Wakazi walio wengi huishi kwa kilimo cha kujikimu. Uchumi hutegemea misaada kutoka Ufaransa. Katika miaka iliyopita utalii umeanza kuchangia katika pato.
| Makala hii kuhusu eneo fulani bado ni mbegu. Je unajua kitu kuhusu Wallis na Futuna kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni? Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |
| Nchi_na maeneo ya Australia na Pasifiki |
| Australia | Fiji | Guam | Hawaii | Kaledonia Mpya | Kiribati | Kisiwa cha Pasaka | Mikronesia | Nauru | New Zealand | Niue | Pitcairn | Polynesia ya Kifaransa | Palau | Papua New Guinea | Samoa | Samoa ya Marekani | Visiwa vya Cook | Visiwa vya Mariana ya Kaskazini | Visiwa vya Marshall | Visiwa vya Solomon | Tonga | Tuvalu | Vanuatu | Wallis na Futuna |
