Visiwa vya Solomon

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Solomon Islands
Flag of Visiwa vya Solomon Nembo ya Visiwa vya Solomon
Bendera Nembo
Wito la taifa: To Lead is to Serve (Kuongoza ni kuhudumia)
Wimbo wa taifa: God Save Our Solomon Islands
Mungu abariki Visiwa vyetu vya Solomon
Lokeshen ya Visiwa vya Solomon
Mji mkuu Honiara
9°28′ S 159°49′ E
Mji mkubwa nchini Honiara
Lugha rasmi Kiingereza
Serikali Ufalme wa kikatiba
Elizabeth II wa Uingereza
Nathaniel Waena
Manasseh Sogavare
uhuru
tarehe

7 Julai 1978
Eneo
 - Jumla
 - Maji (%)
 
28,896 km² (ya 142)
3.2%
Idadi ya watu
 - Julai 2005 kadirio
 - Msongamano wa watu
 
478,000 (ya 167)
17/km² (ya 189)
Fedha Dollar ya Solomoni (SBD)
Saa za eneo
 - Kiangazi (DST)
(UTC+11)
(UTC)
Intaneti TLD .sb
Kodi ya simu +677
Ramani ya Solomoni
Ramani ya Solomoni

Visiwa vya Solomon ni nchi ya visiwani ya Melanesia katika Bahari ya Pasifiki upande wa mashariki ya Papua Guinea Mpya. Eneo lake ni visiwa mnamo 1000 vyenye 28,400 km². Mji mkuu ni Honiara kwenye kisiwa cha Guadalcanal.

Visiwa vimekaliwa tangu miaka maelfu na Wamelanesia. Katika karne ya 19 vilikuwa koloni la Ujerumani na Uingereza. Wakati wa Vita Kuu ya Pili ya Dunia mapigano makali kati ya Japani na Marekani yalipiganiwa hapo.

Visiwa vilipata uhuru 1978.

Image:WikiLettreMini.svg Makala hiyo kuhusu "Visiwa vya Solomon" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Visiwa vya Solomon kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.

Vifaa binafsi