Herman Wouk
Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
| Herman Wouk | |
Herman mnamo 2010 |
|
| Amezaliwa | 27 Mei 1915 New York, Marekani |
|---|---|
| Kazi yake | Mwandishi |
| Ndoa | Betty Sarah Brown (1945-2011) |
| Watoto | Joseph Wouk, Nathanial Wouk |
Herman Wouk (amezaliwa 27 Mei 1915) ni mwandishi kutoka nchi ya Marekani. Anajulikana hasa kwa riwaya zake zinazoeleza hali ya Vita Kuu ya Pili ya Dunia. Mwaka wa 1952 alikuwa mshindi wa Tuzo ya Pulitzer.
| Makala hii kuhusu mwandishi fulani bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Herman Wouk kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |