Herman Wouk
Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Herman Wouk (amezaliwa 27 Mei, 1915) ni mwandishi kutoka nchi ya Marekani. Anajulikana hasa kwa riwaya zake zinazoeleza hali ya Vita Kuu ya Pili ya Dunia. Mwaka wa 1952 alikuwa mshindi wa Tuzo ya Pulitzer.

