Papa Marcello II
Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Papa Marcello II (6 Mei 1501 – 1 Mei 1555) alikuwa papa kuanzia 9 Aprili 1555 hadi kifo chake. Jina lake la kuzaliwa lilikuwa Marcello Cervini degli Spannochi. Alimfuata Papa Julius III akafuatwa na Papa Paulo IV.
Viungo vya nje [hariri]
Papa Marcello II katika Kamusi Elezo ya Kikatoliki
| Makala hii kuhusu Papa fulani bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Papa Marcello II kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |
