16 Juni
Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
| Mei - Juni - Jul | ||||||
| 1 | 2 | 3 | 4 | 5 | 6 | 7 |
| 8 | 9 | 10 | 11 | 12 | 13 | 14 |
| 15 | 16 | 17 | 18 | 19 | 20 | 21 |
| 22 | 23 | 24 | 25 | 26 | 27 | 28 |
| 29 | 30 | |||||
| Kalenda ya Gregori | ||||||
Matukio [hariri]
- 1846 - Uchaguzi wa Papa Pius IX
Waliozaliwa [hariri]
- 1897 - Georg Wittig, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Kemia mwaka wa 1979
- 1902 - Barbara McClintock (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba, mwaka wa 1983)
- 1962 - Femi Kuti, mwanamuziki kutoka Nigeria
- 1971 - Tupac Shakur, mwigizaji wa filamu kutoka Marekani