1870
Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
| Miaka: | 1867 1868 1869 - 1870 - 1871 1872 1873 |
[hariri] Matukio
[hariri] Waliozaliwa
- 22 Aprili - Vladimir Lenin, kiongozi wa Umoja wa Kisovyeti hadi 1924
- 13 Juni - Jules Bordet (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Kemia mwaka wa 1919)
- 30 Septemba - Jean Perrin (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia mwaka wa 1926)
- 22 Oktoba - Ivan Bunin (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi, mwaka wa 1933)
[hariri] Waliofariki
- 9 Juni - Charles Dickens, mwandishi maarufu Mwingereza

