Cosmas Masolwa Masolwa
Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Cosmas Masolwa Masolwa (amezaliwa tar. 20 Aprili 1962) ni mbunge wa jimbo la Bububu katika bunge la kitaifa huko nchini Tanzania.[1] Anatokea katika chama cha CCM.
Tazama pia [hariri]
Marejeo [hariri]
- ↑ Mengi kuhusu Cosmas Masolwa Masolwa (19 Julai 2006). Rudishwa juu ya 11 Novemba 2011.
| Makala hiyo kuhusu wanasiasa wa Tanzania bado ni mbegu. Unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuongezea habari. |