Papa Martin I
Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Papa Martin I alikuwa papa kuanzia 21 Julai 649 hadi kifo chake tarehe 16 Septemba 655.
Alimfuata Papa Theodor I akafuatwa na Papa Eugenio I.
Anaheshimiwa kama mtakatifu mfiadini. Sikukuu yake ni tarehe 13 Aprili.
Marejeo [hariri]
- Ekonomou, Andrew J. 2007. Byzantine Rome and the Greek Popes: Eastern influences on Rome and the papacy from Gregory the Great to Zacharias, A.D. 590–752. Lexington Books.
Viungo vya nje [hariri]
- Kuhusu Papa Martin I katika Kamusi Elezo ya Kikatoliki
- Pope Saint Martin I in Patron Saints Index
- Pope Matrin I
| Makala hii kuhusu Papa fulani bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Papa Martin I kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |
