Papa Eugenio I
Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Papa Eugenio I alikuwa papa kuanzia tarehe 10 Agosti 654 hadi kifo chake tarehe 1 Juni 657.
Alimfuata Papa Martin I akafuatwa na Papa Vitalian.
Anaheshimiwa kama mtakatifu. Sikukuu yake ni tarehe 2 Juni.
Viungo vya nje [hariri]
- Kuhusu Papa Eugenio I katika Kamusi Elezo ya Kikatoliki
- The Book of Saints, by the Ramsgate Benedictine Monks of St. Augustine's Abbey
- This article incorporates original text from the 9th edition (1879) of the Encyclopædia Britannica.
| Makala hii kuhusu Papa fulani bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Papa Eugenio I kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |
