16 Septemba
Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
| Ago - Septemba - Okt | ||||||
| 1 | 2 | 3 | 4 | 5 | 6 | 7 |
| 8 | 9 | 10 | 11 | 12 | 13 | 14 |
| 15 | 16 | 17 | 18 | 19 | 20 | 21 |
| 22 | 23 | 24 | 25 | 26 | 27 | 28 |
| 29 | 30 | |||||
| Kalenda ya Gregori | ||||||
Matukio [hariri]
Waliozaliwa [hariri]
- 1853 - Albrecht Kossel (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba mwaka wa 1910)
- 1888 - Frans Eemil Sillanpää (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi, mwaka wa 1939)
- 1893 - Albert Szent-Györgyi (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba, mwaka wa 1937)
- 1942 - Beverly Aadland, mwigizaji wa filamu kutoka Marekani
Waliofariki [hariri]
- 655 - Papa Martin I
- 1087 - Papa Viktor III
- 1932 - Sir Ronald Ross (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba mwaka wa 1902)