Papa Sixtus II
Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Kuuawa kwa Papa Sixtus II na mashemasi wake 6.
Papa Sixtus II alikuwa papa kuanzia 30 Agosti 257 hadi kifodini chake tarehe 6 Agosti 258. Alimfuata Papa Stefano I akafuatwa na Papa Dionysius.
Anaheshimiwa kama mtakatifu mfiadini. Sikukuu yake ni tarehe 7 Agosti.
Maandishi yake [hariri]
Marejeo [hariri]
- "St. Xystus, or Sixtus II., Pope and Martyr", Butler's Lives of the Saints
Viungo vya nje [hariri]
Wikimedia Commons ina media kuhusu:
| Makala hii kuhusu Papa fulani bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Papa Sixtus II kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |