Papa Eleutero

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Papa Eleutero.

Papa Eleutero (kwa Kigiriki Ελευθέριος) alikuwa Papa kuanzia takriban 171/177 hadi kifo chake takriban 185/193[1]. Alitokea Nikopoli, Ugiriki.

Alimfuata Papa Soter akafuatwa na Papa Viktor I.

Egesipo aliandika kwamba alikuwa shemasi wa Roma chini ya Papa Aniseti na Papa Soter.

Chini yake uzushi ulienea [2] na Eleutero aliandika kitabu kuupinga [3]

Wafiadini wa Lyon, wakiwa gerezani, walimuandikia barua nzuri sana kuhusu kudumisha amani ya Kanisa[4].

Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 26 Mei[5].

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

  1. https://www.vatican.va/content/vatican/en/holy-father.index.html#holy-father
  2. The Montanist movement, which originated in Asia Minor, made its way to Rome and Gaul in the second half of the 2nd century, during the reign of Eleuterus. Its nature did not diverge so much from the orthodoxy of the time for it to initially be labeled heresy. During the violent persecution at Lyon, in 177, local confessors wrote from their prison concerning the new movement to the Asiatic and Phrygian communities as well as to Pope Eleuterus. Cfr. Eusebius, Historia Ecclesiastica, 5.3.4; translated by G.A. Williamson, Eusebius: The History of the Church (Harmonsworth: Penguin, 1965), p. 206. The bearer of their letter to the pope was the presbyter Irenaeus, soon to become Bishop of Lyon. It appears from statements of Eusebius concerning these letters that the Christians of Lyon, though opposed to the Montanist movement, advocated patience and pleaded for the preservation of ecclesiastical unity. When the Roman church took its definite stand against Montanism is not precisely known. Tertullian records that a Roman bishop sent some conciliatory letters to the Montanists, but based on the complaints of Praxeas "concerning the prophets themselves and their churches, and by insistence on the decisions of the bishop's predecessors" forced the pontiff to recall these letters. Cfr. Adversus Praxeam, 1
  3. The Praedestinatorum Haeresis (once attributed to Augustine of Hippo, but now considered to be the work of an unknown author) states that "Holy Soter, Pope of the City, wrote against them a book, as did the master, Apollonius of Ephesus. Against these wrote the priest Tertullian of Carthage, who "in all ways wrote well, wrote first and wrote incomparably, in this alone did reprehensibly, that he defended Montanus". Cfr. Pseudo-Augustine, Praedestinatorum Haeresis, 1.26
  4. https://www.santiebeati.it/dettaglio/89013
  5. Martyrologium Romanum: ex Decreto Sacrosancti oecumenici Concilii Vaticani II instauratum auctoritate Ioannis Pauli P.P. II promulgatum, Romae 2001, ISBN 8820972107

Vyanzo[hariri | hariri chanzo]

Marejeo mengine[hariri | hariri chanzo]

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Wikimedia Commons ina media kuhusu:
Makala hii kuhusu Papa fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Papa Eleutero kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.