Papa Viktor I
Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Papa Viktor I alikuwa papa kuanzia takriban 189 hadi kifo chake takriban 199. Alimfuata Papa Eleutero akafuatwa na Papa Zephyrinus.
Alikuwa papa wa kwanza kutokea Afrika, labda Leptis Magna, leo nchini Libya.
Anaheshimiwa kama mtakatifu mfiadini. Sikukuu yake ni tarehe 28 Julai.
Viungo vya nje [hariri]
Wikimedia Commons ina media kuhusu:
| Makala hii kuhusu Papa fulani bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Papa Viktor I kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |
