Papa Callixtus II
Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Papa Callixtus II alikuwa papa kuanzia 1 Februari 1119 hadi kifo chake tarehe 13 Desemba 1124. Jina lake la kuzaliwa lilikuwa Guido wa Vienna.
Alimfuata Papa Gelasio II akafuatwa na Papa Honorius II.
Viungo vya nje[hariri]
Papa Callixtus II katika Kamusi Elezo ya Kikatoliki
| Makala hii kuhusu Papa fulani bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Papa Callixtus II kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |
