Papa Silvester I
Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Papa Silvester I alikuwa papa kuanzia 31 Januari, 314 hadi kifo chake tarehe 31 Desemba, 335. Alimfuata Papa Miltiades.
[hariri] Viungo vya nje
Kuhusu Papa Silvester I katika Kamusi Elezo ya Kikatoliki

