Papa Celestino V
Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Papa Celestino V (1215 – 19 Mei, 1296) alikuwa papa kuanzia 7 Julai, 1294 hadi 13 Desemba, 1294. Jina lake la kuzaliwa lilikuwa Pietro Angelerio. Alimfuata Papa Nikolasi IV. Alijiuzulu ili kuishi maisha ya kipweke. Lakini alifungwa na Papa Boniface VIII aliyemfuata. Baada yake hakuna papa tena aliyechagua jina la Celestino.
[hariri] Viungo vya nje
Kuhusu Papa Celestino V katika Kamusi Elezo ya Kikatoliki
| Makala hii kuhusu Papa fulani bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Papa Celestino V kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |