Papa Innocent XIII
Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Papa Innocent XIII (13 Mei, 1655 – 7 Machi, 1724) alikuwa papa kuanzia 8 Mei, 1721 hadi kifo chake. Jina lake la kuzaliwa lilikuwa Michelangelo dei Conti. Alimfuata Papa Klementi XI.
[hariri] Viungo vya nje
Papa Innocent XIII katika Kamusi Elezo ya Kikatoliki
| Makala hii kuhusu Papa fulani bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Papa Innocent XIII kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |